wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wakuu poleni,
Hivi katika sayansi ni kweli mwanamke mwenye mimba haruhusiwi kula asali nakumbuka kipindi niko mdogo kuna mama jirani yetu alikuwa ana mimba kuna siku walienda kurina asali shambani kwake na yeye akala.
Sasa ilifika usiku ikawa ameumwa sana, wakamkimbiza hospital na kwa bahati mbaya ilibidi ajifungue kichanga tena kikiwa hakina uhai, sasa kwa maelezo walidai ni ile asali ndo sababu, sasa wakuu naomba kujua hivi hapo kuna sayansi yoyote inayohusiana na asali na mimba.
Hivi katika sayansi ni kweli mwanamke mwenye mimba haruhusiwi kula asali nakumbuka kipindi niko mdogo kuna mama jirani yetu alikuwa ana mimba kuna siku walienda kurina asali shambani kwake na yeye akala.
Sasa ilifika usiku ikawa ameumwa sana, wakamkimbiza hospital na kwa bahati mbaya ilibidi ajifungue kichanga tena kikiwa hakina uhai, sasa kwa maelezo walidai ni ile asali ndo sababu, sasa wakuu naomba kujua hivi hapo kuna sayansi yoyote inayohusiana na asali na mimba.