C chepe salum New Member Joined Feb 26, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Feb 26, 2012 #1 Ni maajabu kusikia nabii anabaka,bado siamini mbona hajashitakiwa?au ndio mambo ya mwenye kesi ya kuiba kuku kuhukumiwa mwaka mmoja jela,fisadi wa epa anaombwa arudishe mabilioni aliyoiba.
Ni maajabu kusikia nabii anabaka,bado siamini mbona hajashitakiwa?au ndio mambo ya mwenye kesi ya kuiba kuku kuhukumiwa mwaka mmoja jela,fisadi wa epa anaombwa arudishe mabilioni aliyoiba.
Shinto JF-Expert Member Joined Dec 6, 2010 Posts 1,781 Reaction score 96 Feb 27, 2012 #2 Wewe hukuona tamko la maaskofu wenzake? Inasemekana alikuwa anamtakasa mke yule, ni ritual ya kawaida kwa watumishi hawa!
Wewe hukuona tamko la maaskofu wenzake? Inasemekana alikuwa anamtakasa mke yule, ni ritual ya kawaida kwa watumishi hawa!