Hivi ni kweli?????naombeni majibu tafadhari

Mwashelii

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
477
Reaction score
90
Habari za saizi wana JF. Natumai mko poa.
Samahani naomba kuuliza; Eti hiki kipimo cha Urine Pregnant Test (U.P.T) kinachouzwa duka la dawa huwa kinatoa majibu sahihi 100%???? Naombeni mnisaidie majib tafadhari. Nawasilisha.
 
Nashkuru kwa majib madam zero.

sio kweli...huwa kinapatia kwa aslimia kubwa ila sio kipimo chenye uhakika kwa asilimia mia moja hasa wiki ya kwanza ya ujauzito maana hCG hazijafikia kiwango kikubwa kwenye mkojo...Kipimo cha uhakika ni cha damu hasa kikifanyika hospitali. Nakushauri kapime hospitali kuondoa utata.
 

Nashkuru sana ndugu La Cosa Mia kwa ushauri pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…