Hivi ni kweli Saido Tibazonkiza amecheza ligi kuu ya ufaransa (league I)?

Hivi ni kweli Saido Tibazonkiza amecheza ligi kuu ya ufaransa (league I)?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Jana wakati wa mechi ya Yanga na Geita nimemsikia zaidi ya mara 3 mtangazaji wa Azam sports ambaye alikuwa mtangazaji wa mechi hiyo.

Alisema kuwa Saido Ntibazonkiza alikuwa akicheza ligi kuu ya ufaransa kabla ya kutimkia yanga. Swali langu kwanini yanga wamemuachia mchezaji huyu mwenye uzoefu wa kimataifa na kukumbatia akina Makambo, Faisal na kina TK master?

Yanga wamuombe radhi Saido haraka sana na panapo majaliwa dirisha dogo wamrudishe.
 
Jana wakati wa mechi ya Yanga na Geita nimemsikia zaidi ya mara 3 mtangazaji wa Azam sports ambaye alikuwa mtangazaji wa mechi hiyo. Alisema kuwa Saido Ntibazonkiza alikuwa akicheza ligi kuu ya ufaransa kabla ya kutimkia yanga. Swali langu kwanini yanga wamemuachia mchezaji huyu mwenye uzoefu wa kimataifa na kukumbatia akina Makambo, Faisal na kina TK master? Yanga wamuombe radhi Saido haraka sana na panapo majaliwa dirisha dogo wamrudishe.
bro ni kweli kuwa saidoo amecheza ligi kuu ufaransa lakini kama ulikuwa hujui,yanga haikumuacha saidoo bali walishindwana masharti yeye alitaka mkataba mpya wa miaka 2 yanga hawakukubali kutokana na umri hivyo walimpa mkataba wa mwaka ambao yeye aliukataa ndipo walipokubaliana kuachana kwa amani na furaha
 
bro ni kweli kuwa saidoo amecheza liginkuu ufaransa lakini kama ulikuwa hujui,yanga haikumuacha saidoo bali walishindwana masharti yeye alitaka mkataba mpya wa miaka 2 yanga hawakukubali kutokana na umri hivyo wslimpa mkataba wa mwaka ambao yeye aliukataa ndipo walipokubaliana kuachana kwa amani na furaha
Sio kweli Saido wakati yanga wapo kambini shinyanga wakijiandaa na mechi na simba kombe la shirikisho,alitoroka kambini kuzoa malaya akakutana na kiongozi wa simba club mitaa ya mwanza,wambea wakamchoma wakidhani anauza game
 
Sio kweli Saido wakati yanga wapo kambini shinyanga wakijiandaa na mechi na simba kombe la shirikisho,alitoroka kambini kuzoa malaya akakutana na kiongozi wa simba club mitaa ya mwanza,wambea wakamchoma wakidhani anauza game
Hizo ni kashfa za kuzusha Yanga baada ya kushindwana. Hivi Yanga haiwezi kuachana na mtu vizuri kama kina Kagere na Mugalu?
 
Jana wakati wa mechi ya Yanga na Geita nimemsikia zaidi ya mara 3 mtangazaji wa Azam sports ambaye alikuwa mtangazaji wa mechi hiyo.

Alisema kuwa Saido Ntibazonkiza alikuwa akicheza ligi kuu ya ufaransa kabla ya kutimkia yanga. Swali langu kwanini yanga wamemuachia mchezaji huyu mwenye uzoefu wa kimataifa na kukumbatia akina Makambo, Faisal na kina TK master?

Yanga wamuombe radhi Saido haraka sana na panapo majaliwa dirisha dogo wamrudishe.
Kwahyo ukahisi unapigwa kamba?
 
Back
Top Bottom