mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Wadau nimekiwa nikipiga kila siku kuwa vijana wetu wa Serengeti boy's sio under 17,kwa factor hizi.
Kama ni kweli vijana hawa wana miaka kumi na saba, inamaana watakuwa wamezaliwa mwaka 2001 . Je kuna mtu anaweza kuniekewa stage amabazo wamezipitia wao vijana mpaka wakawa hapa?
Je Kuna mtu anaweza kunieleza vijana hawa wote wamemaliza form four na ni miaka mingapi sass tangu wamalize shule?
Nasema hawa vijana hawana miaka kumi na saba Narudi hawana
Kama ni kweli vijana hawa wana miaka kumi na saba, inamaana watakuwa wamezaliwa mwaka 2001 . Je kuna mtu anaweza kuniekewa stage amabazo wamezipitia wao vijana mpaka wakawa hapa?
Je Kuna mtu anaweza kunieleza vijana hawa wote wamemaliza form four na ni miaka mingapi sass tangu wamalize shule?
Nasema hawa vijana hawana miaka kumi na saba Narudi hawana