Ndio maana nimeuliza
mtu ukiwa wa mazoezi unaonekana umekomaaNdio maana nimeuliza
[emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1]Kama Ema Okwinyo ana miaka 26 hao serengeti hata wakiwa under 10 ni sawa tu!
😀😀😀Kama Ema Okwinyo ana miaka 26 hao serengeti hata wakiwa under 10 ni sawa tu!
We ujauliza ila unapinga sasa ndo unataka uthibitisho,Ndio maana nimeuliza
Sasa mbona unahitimisha wakati haujajibiwa bado?Ndio maana nimeuliza
DuhHawa vijana watakuwa above 17 lakini under 23
Mjadala ufungwe, umejibu kila kitu.We ujauliza ila unapinga sasa ndo unataka uthibitisho,
Ulichokosea kingine unapinga kwamba si under 17 lakini unakuja na hoja za kupinga badala kuja na hoja za kututhibitishia hiyo wasi wasi wako.
Mi naweza kukuthibitishia kua ni under 17 kwa kigezo cha FIFA na CAF kwamba waliwapima umri wao kabla ya haya mashindano na kutoa majibu kua wanastahili kucheza kwa mana hiyo ni kwamba ni under 17.
Pili suala la kumaliza form 4 sidhani ka kuna mtu au TFF wamesema wamemaliza form 4 au ka sheria za kushiriki lazima umalize form 4.
Ila wengi wametoka kwenye Academy mbali mbali na kucheza mpira sio lazima usome. Ko kukushauri hilo la elimu kwenye shaka lako ungelitoa mana halihusiani na mpira labda ka ni wale wa enzi za Nyerere unamlazimisha mtoto aende shule ni mbumbumbu na yeye ni genius kwenye mpira .
Ila kwa vile umeleta kua ni mjadala, Sijui ulikua na maana gani ulivyoleta hoja ya kumaliza form 4?
Anaonekana hajui mambo ya mpira huyo, aende Naijeria under 13 yao awaoneKama Ema Okwinyo ana miaka 26 hao serengeti hata wakiwa under 10 ni sawa tu!
Kweli kiongozi, hao watoto kama wa atoka academy ni watoto wa wenye mpunga. Misosi ya kisasa imewakuza balaa. Nmewahi kumwona mwanafunzi yuko zhule fulan mjini njombe akiwa std 4. Nilikataa na nilipoona kadi yake ya afya sikuamini. Alikuwa na miaka 10 tu, ila mwili utadhani dada wa kitaa mwenye mtoto kabisa. Umbo na umri havina urafiki sana.Umbo na Sura havina mahusiano na umri wa mtu.
Mimi nina umbo kubwa sanaa ila huwa nikiwaambia watu nina miaka 18 wanakataa.