Hivi ni kweli Serengeti boys ni under 17?

Kuwa na mwli mkubwa Sawa, lakini sio uwe unambambana kuzidi mwili
 
Umbo na Sura havina mahusiano na umri wa mtu.

Mimi nina umbo kubwa sanaa ila huwa nikiwaambia watu nina miaka 18 wanakataa.
Ni kweli ndugu lakini kama umeangali mpra na Somali Ungejua naonge nini
 
Huyo Kevin John atafutiwe academy Ulaya...miaka mitatu ijayo anacheza EPL,Laliga,Ligue one...
Kelvin mwaka jana alikuja mashindano ya shule za msingi alikua mkoa wa morogoro, tena alikua mtoto Sana. Kamaliza msingi mwaka jana kuna academy flan ya Mwanza ikamchukua. Mwaka huu kacheza umiseta mkoa wa Mwanza, nimemuona kakua na kukomaa mwili kiasi ambacho mtu akiambiwa ni form one anabisha. Kelvin ni mtoto mdogo under 17 ana kipaji sana Kama hatabadilika atacheza ulaya.

Tatizo la mtoa post kashakariri Kama tunatumia vijeba, kuna watoto kwenye hizi academy wapo under17 na wanacheza mpira vzr sana .
 
Mtoa post thibitisha kama hawa vijana wetu ni above 17, maana naona hutaki kuamini huku ukiwa huna uthibitisho wowote! Hawa watoto huwa wanafanyiwa vipimo kujua umri wao kabla ya mashindano. Najua wabongo tuna sifa ya kuvikosoa vya kwetu zaidi kuliko vya kigeni. Zinakujaga timu za mataifa mengine hapa huku vjana wao wakionekana wazee kabisa lkn hatusemi. Tujifunze kuwa wazalendo na kuvikubali na kuviheshimu vya kwetu. Ahsanteni
 

Mbona huyu alikuwa anachezea kikosi cha chini ya miaka 20 cha JKT RUVU kipindi hicho basi tu maisha ndio akawa hivi lakini ni dogo chini ya miaka 20
 
Ndio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu Vita Kumbukumbu Juma Kaseja Kaanza Kuichezea SimbaSC mwaka gani Halafu urelate na Umri wake! Kwa Mahesabu Utagundua Kaanza Kuichezea Simba Kwenye Ligi kuu akiwa na Umri Wa Miaka 12.
 
mbona mkuu wengne wanafunzi kuna mmoja yupo form two pale jitegemee secondary
 
na wameshinda 4:0 dhidi ya jirani zetu Rwanda leo yaani hawa vijana hatari sanaa
 
Sasa unashangaa hao miili yao hivi unajua lemutuz ana miaka chini ya 27?
 
Mbona wa west africa raia huko huwa hawafatilii wachezaji wao kuhusu umri...sisi bongo mchezaji akitafanya mipango kwenda nje kusakata kambumbu tunaletea zengwe wenyewe kwa wenyewe

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…