Hivi ni kweli tunapiga hatua kiuchumi au tunadanganyana tu?

Hivi ni kweli tunapiga hatua kiuchumi au tunadanganyana tu?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Hadi sasa hivi vijiti vya kuchokonolea meno (toothpik) vinatoka China na maeneo mengine ya huko Asia, sisi hatujaweza kuvitengeneza hapa licha ya kuwa na malighafi tele ya kutuwezesha kutengeneza vitu kama ivo yani kwa ufupi hivi vitu vya kuhitaji teknolojia rahisi kama ivo vijiti, masinki ya kunawia mikono na choo vyote vinatoka hukohuko, tailizi hizi au wengine wanaziita marumaru zinazalishwa na haohao wa Asia.

Hapa hatujazungumzia haya mambo ya kuhitaji tekinolojia ndefu maana huko ni ndoto kabisa kuweza kuyafikia.

Sasa hizi hatua tunazozipiga au sisi tunapiga kwenda kinyumenyume?
 
tu
Hadi sasa hivi vijiti vya kuchokonolea meno (toothpik) vinatoka China na maeneo mengine ya huko Asia, sisi hatujaweza kuvitengeneza hapa licha ya kuwa na malighafi tele ya kutuwezesha kutengeneza vitu kama ivo yani kwa ufupi hivi vitu vya kuhitaji teknolojia rahisi kama ivo vijiti, masinki ya kunawia mikono na choo vyote vinatoka hukohuko, tailizi hizi au wengine wanaziita marumaru zinazalishwa na haohao wa Asia.

Hapa hatujazungumzia haya mambo ya kuhitaji tekinolojia ndefu maana huko ni ndoto kabisa kuweza kuyafikia.

Sasa hizi hatua tunazozipiga au sisi tunapiga kwenda kinyumenyume?
tiles zinatengenezwa hapa hapa bongo_japo zinazotoka nje pia zipo
 
Hadi sasa hivi vijiti vya kuchokonolea meno (toothpik) vinatoka China na maeneo mengine ya huko Asia, sisi hatujaweza kuvitengeneza hapa licha ya kuwa na malighafi tele ya kutuwezesha kutengeneza vitu kama ivo yani kwa ufupi hivi vitu vya kuhitaji teknolojia rahisi kama ivo vijiti, masinki ya kunawia mikono na choo vyote vinatoka hukohuko, tailizi hizi au wengine wanaziita marumaru zinazalishwa na haohao wa Asia.

Hapa hatujazungumzia haya mambo ya kuhitaji tekinolojia ndefu maana huko ni ndoto kabisa kuweza kuyafikia.

Sasa hizi hatua tunazozipiga au sisi tunapiga kwenda kinyumenyume?
Kuna kakiwanda ka Toothpick siku hizi


View: https://youtu.be/xMLeEd_g5Xs?si=2_VOVmF4aCVDevEo
 
Hakuna nchi iliyoendelea halafu inafanya mambo yake kama Tanzania yaani raia wake hawawezeshwi ila wanakomolewa ,nchi zote duniani raia wake wanakopeshwa kwenye bank zao lakini kwa Tanzania ni kinyume
 
Uliza takwimu baadhi ambazo ni kiashiria cha ujuaji wa uchumi: idadi ya Watu waliojiliwa kuanzia Julia 2024 Hadi December?Lita ngapi za diesel zimenunuliwa kwa miezi mitatu nchi mzima, mauzoi ghafi ya bidhaa kwenda Nje ya nchi kwa mwezi uliopita, nk
Uchumi kujua au kushuka ni takwimu sio porojo za akina Chuwa!
 
Hadi sasa hivi vijiti vya kuchokonolea meno (toothpik) vinatoka China na maeneo mengine ya huko Asia, sisi hatujaweza kuvitengeneza hapa licha ya kuwa na malighafi tele ya kutuwezesha kutengeneza vitu kama ivo yani kwa ufupi hivi vitu vya kuhitaji teknolojia rahisi kama ivo vijiti, masinki ya kunawia mikono na choo vyote vinatoka hukohuko, tailizi hizi au wengine wanaziita marumaru zinazalishwa na haohao wa Asia.

Hapa hatujazungumzia haya mambo ya kuhitaji tekinolojia ndefu maana huko ni ndoto kabisa kuweza kuyafikia.

Sasa hizi hatua tunazozipiga au sisi tunapiga kwenda kinyumenyume?
Kudanganyana bongo ndio mtindo wa kileo,endelea kuamini kadiri ya walivyofanikiwa kukupa imani.
 
Back
Top Bottom