Hivi ni kweli tupo kwenye ligi 5 bora?

Hector Cooper

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2023
Posts
696
Reaction score
1,036
Salam nduguzangu, kama mmeshuhudia kilichotokea pale Chamazi leo hivi kwanini isingetumika busara kusogeza mbele mchezo?

Lakini TFF wakaruhusu mechi ichezwe watu wametoka mbali kuja kuangalia dakika zile kweli?

Japo nimemsikia msemaji wa bodi ya ligi anasema sheria zinaruhusu! hiviingekuwa ni vilabu vyetu hivi vikubwa mechi ingechezwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…