Hivi ni kweli udsm wamepandisha ada jamani?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Jamani kwa anaefahamu anijuze tafadhali?
 
ingia kwenye website yao kuna tangazo la kiwango cha ada...naona ada zipo kawaida tu hakuna mabadiliko...
 
Asanteni jamani,maana kuna mtu kanirusha roho huku,ukizingatia mwenyewe niko kwenye category ya no Loan,nlitaka kudhirai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…