Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Nov 2, 2010 #1 Kumekuwa na uvumi kuwa wapinzani ambao wameshinda wamekuwa wakiahidiwa pesa kabla ya kutangaza matokeo ili wauze kura zao.....hili jamani linanipa shida sana....je ni kweli wanahongwa hizo pesa na CCM?
Kumekuwa na uvumi kuwa wapinzani ambao wameshinda wamekuwa wakiahidiwa pesa kabla ya kutangaza matokeo ili wauze kura zao.....hili jamani linanipa shida sana....je ni kweli wanahongwa hizo pesa na CCM?
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Nov 2, 2010 #2 My dia... wapo, na hao tunaita mamluki, political prostitutes au mapandikizi... luckily so far ni Mbatia peke yake Na ndie anayeharibu uchaguzi wa kawe na kumnyima dada yetu nafasi
My dia... wapo, na hao tunaita mamluki, political prostitutes au mapandikizi... luckily so far ni Mbatia peke yake Na ndie anayeharibu uchaguzi wa kawe na kumnyima dada yetu nafasi