Hivi ni kweli watoto wa kiume wananyonya sana?

Principle girl

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
1,311
Reaction score
1,297
Habarini waungwana
Hivi ni kweli kuwa watoto wa kiume huwa wananyonya sana kuliko watoto wa kike?kama ni kweli naombeni sababu inayofanya iwe hivo.
 
Labda ya sababu za kimaumbile na kutoshiba vizuri mkuu
 
Sijuwi wakike wana akiba kifuani na huwa na maji mengi hawahisi njaaa...sie hatuna pakuweka akiba ya internal nutrients, njaa haiishi mpaka tunyonye sana.
 
Habarini waungwana
Hivi ni kweli kuwa watoto wa kiume huwa wananyonya sana kuliko watoto wa kike?kama ni kweli naombeni sababu inayofanya iwe hivo.
Kwani kwa mfano wewe unakula ugali/wali(chakula) sawa na mumeo?

Ni mahitaji ya kimwili. Ndio maana wakati wa balehe wanawake wanatanuka nyonga na wanaume wanatanuka vifua

Wanaume wana misuli zaidi ya wanawake na hivyo mwili wa mwanaume unahitaji calories nyingi kuliko mwanamke

Toka utotoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…