Godbless mtega
Member
- Sep 15, 2018
- 41
- 24
samahanini jaman naomba kuuliza nilishawahi kuambiwa watu wenye vipele mikononi vidogovidogo malanyingi huwa wanaukimwi .sasa. nimefika dar nikipanda kwwnye dala dala hua nawacheki naona n wengi ..hivi ni kweli?
Mimi nilikuwa nasoma dar primary ,hivyo natoka mbeya nakuja skuli dsm..samahanini jaman naomba kuuliza nilishawahi kuambiwa watu wenye vipele mikononi vidogovidogo malanyingi huwa wanaukimwi .sasa. nimefika dar nikipanda kwwnye dala dala hua nawacheki naona n wengi ..hivi ni kweli?