Mayombya Jr
Member
- Oct 24, 2022
- 25
- 30
Habari wana JF,
Nimshauri ndugu Zitto Kabwe, kwamba raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanahitaji zaidi kusikia habari zinazohusu katiba mpya na sio gonjera zake hizo.
Wanasisasa wa nchii hii wabadilike, watangulize maslahi ya umma mbele kuliko kutanguliza maslahi yao binafsi.
Nilitegemea ndugu Zitto Kabwe, awaze kuwaza ni kwa namna gani ataweza kuunganisha upinzani wa nchii hii ili wawe kitu kimoja kwanza ndo awaze hayo maslahi yake binafsi.
Hivi ndugu Zitto Kabwe kwa mawazo yake, anafikiri ataweza kung'oa CCM madarakani bila upinzani kuunganisha nguvu na kudai katiba mpya na tume huru?
Nimshauri ndugu Zitto Kabwe, kwamba raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanahitaji zaidi kusikia habari zinazohusu katiba mpya na sio gonjera zake hizo.
Wanasisasa wa nchii hii wabadilike, watangulize maslahi ya umma mbele kuliko kutanguliza maslahi yao binafsi.
Nilitegemea ndugu Zitto Kabwe, awaze kuwaza ni kwa namna gani ataweza kuunganisha upinzani wa nchii hii ili wawe kitu kimoja kwanza ndo awaze hayo maslahi yake binafsi.
Hivi ndugu Zitto Kabwe kwa mawazo yake, anafikiri ataweza kung'oa CCM madarakani bila upinzani kuunganisha nguvu na kudai katiba mpya na tume huru?