Hakuna ubaya kabisa, kwanza ni j ambo la heri. Tatizo ni kuweza kuvumilia tu. Kama utaweza nakununulia soda chupa kubwa
wazo linajijia kwamba....wewe bado ni mtotototo....eti....?....bado hujakuwa si ndio....?
mwanzo mchungu......
sasa uniambie....shimo na tundu....kipi kinaziba haraka....
Kwani wakubwa ndo wanafanyaga???na ukubwa ni upi???au ndo kufanya preta................!!!kwa hiyo hukukua mpaka ulipofanya????????!!wazo linajijia kwamba....wewe bado ni mtotototo....eti....?....bado hujakuwa si ndio....?
Kwani wakubwa ndo wanafanyaga???na ukubwa ni upi???au ndo kufanya preta................!!!kwa hiyo hukukua mpaka ulipofanya????????!!
he!!...ukifanya ndio unakuzwa harakaharaka....we shauri yako....usiseme sikukwambia.....
Teh teh teh taamu! Mi tangu nilipoonja kwa mara ya kwanza nilinogewa mpaka leo nimeshindwa kabisa kuacha,na mbaya zaidi sipendi kuvaa kiatu! Niombeeni jamani.Zote mbili.
The boss kwa nn watamani kurudi nyuma???kwani ulipo sasa niaje mzee...............??to be honest huwa sometimes natamani ningekuwa
kama zamani ambapo niliyatazama mambo haya kidini zaidi....lol
ukishakuwa mtu mzima na ukishajua the truth about sex na love na women if you are man....
its complicated......lol
We fanya bana!ujana mfupi kama lundo la utumbo,shauri yako!
duh..no commentTeh teh teh taamu! Mi tangu nilipoonja kwa mara ya kwanza nilinogewa mpaka leo nimeshindwa kabisa kuacha,na mbaya zaidi sipendi kuvaa kiatu! Niombeeni jamani.
Ningependa kutulia na kijiheshimu mpaka kipindi naingia kwenye ndoa ndo nianze "Love making",sioni umuhimu wa kuwa na gf kwa sasa sababu kunakaribisha ufanyaji wa ngono coz sihitaji kiukweli na I know mahusiano mengi yanashikiliwa na NGONO. Sijali nitakayekutana naye mbeleni bt I will personally be happy to keep my self clean and free from sex to that time. Kuhusu kujua - haihitaji kwenda course au kupractice kabisaaaaaa kujua!!
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????