Hivi ni lazima kuwa na laptop chuo ?

Hivi ni lazima kuwa na laptop chuo ?

Muhimu sana, ukipewa swali unatakiwa kuchapa na kuprint. Pia kuna vitabu vingine vinakuwa katika soft copy
 
laptop muhimu sana ndugu, kama unaweza kupata itakusaidia sana. Hyo hela ya books and stationary haitosh ndugu kufanya kazi za chuo pamoja na kununua vitabu. Kama ukipata, ukienda uwe makini kuna watu kazi zao ni kuiba laptop za watu tu.
 
inategemea unakwenda kusoma kozi gani? , kama ni 1.engineering 2.law 3.medicine 4.accounting &finance 5.architecture ,ni lazima uwe nayo

Hakika umenena mkuu,lakini pia yafaa awe hata kama anapiga BAED.
Gharama za uchapaji,internet kusurf materials pia itamsaidia sana kupunguza gharama zisizo za lazima.
Kila lakheri Mkuu.
 
inategemea unakwenda kusoma kozi gani? , kama ni 1.engineering 2.law 3.medicine 4.accounting &finance 5.architecture ,ni lazima uwe nayo
Hakuna kozi ya ngazi ya Chuo kikuu utasoma bila laptop.....it doesnt matter ni Education,Sociology Performing Art etc..laptop ni lazima especially kwenye ishu ya vitabu...E- books zinapatikana kwa urahisi zaidi na ni cheap as you know library zetu hata vitabu hazina..
 
siyo lazima kabisa waliosoma zamani hawakuwa nazo walikuwa wakifaulu vizuri sana kwa sasa kimekuwa chanzo cha kufelisha wanafunzi mnapoteza muda mwingi kuangalia fb, jf, porn nknk na kusahau masomo kama una hiyo hela nenda kanunue vitabu usome na si kucopy na kupaste from internet mnalishwa sumu si kila material kwenye internet ni sahihi na hata kama ni sahihi bado hayatoshelezi
 
siyo lazima kabisa waliosoma zamani hawakuwa nazo walikuwa wakifaulu vizuri sana kwa sasa kimekuwa chanzo cha kufelisha wanafunzi mnapoteza muda mwingi kuangalia fb, jf, porn nknk na kusahau masomo kama una hiyo hela nenda kanunue vitabu usome na si kucopy na kupaste from internet mnalishwa sumu si kila material kwenye internet ni sahihi na hata kama ni sahihi bado hayatoshelezi

anakupoteza huyu shauri yako,kama una hela kanunue kama huna jipange ununue
 
siyo lazima kabisa waliosoma zamani hawakuwa nazo walikuwa wakifaulu vizuri sana kwa sasa kimekuwa chanzo cha kufelisha wanafunzi mnapoteza muda mwingi kuangalia fb, jf, porn nknk na kusahau masomo kama una hiyo hela nenda kanunue vitabu usome na si kucopy na kupaste from internet mnalishwa sumu si kila material kwenye internet ni sahihi na hata kama ni sahihi bado hayatoshelezi

Hata maprofessor wanaofundsha sasa walisoma bila laptops akiwemo bingwa wa uchumi prof. Lipumba na walikuw majembe kuliko ata sisi vjana wa sasa
 
Afu pia kwa ajili ya kusevu "pilau" na muziki..
 
Inasaidia na inalemaza sana ndugu unaweza ukawa copy past kwenye Mtiani ukaharibu vibaya sana
 
uko sahihi sana kaka,usifanye laptop ndo kilakitu utapotea....
 
tukubali mabadiliko ya nyakati,siwezi kusoma kama alivyosoma Lipumba enzi hizo!pc itanisaidia kwa namna moja.
 
Back
Top Bottom