Hivi ni lini matukio ya kutekana na kupotea watu yalikwisha?

Hivi ni lini matukio ya kutekana na kupotea watu yalikwisha?

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
Nimesikia wanasiasa wanasema kutekana na kupotea kulikwisha ila kumeanza kurudi tena, hivi ni lini yalikwisha?

Kwa kumbukumbu zangu kila baada ya muda tunasikia tukio la kupotea au kutekwa.

Au mpaka atekwe Lissu, Mdude, Mbowe au mtu yoyote maarufu ndio tujue matukio yanaendelea?
 
Vitendo hivyo haviwezi kwisha kwa sababu CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala,siku wakiondoshwa madarakani ndiyo vitendo hivyo vitakwisha.
Aisee
 
Back
Top Bottom