Mwaipungu
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 293
- 138
Siasa za Tanzania ni siasa za ajabu sana kuliko nchi yoyote ile. Tulianza vizuri na zoezi la katiba hatimaye bila mafanyikio. Tulianza na bwebwe za kukusanya maoni ya watu ili tuandike katiba yetu ya kwanza toka uhuru wa mwaka 1961. Mm kwa mtazamo wangu huwa siamini kama sisi ni watu huru mpaka siku ambayo mawazo ya watanzania yatapewa kipaumbele na kujumuishwa ktk katiba; watanzania tutaheshimiwa na serekali na kuthaminiwa mana kwa kweli hivyo sijaona kama serekali inaogopa watu bali watu wanaogopa serekali na hii si sawa.
Nanuku kutoka kwa Thomas Jefferson ktk khotuba yake maarufu: "When the government fears the people, there is liberty. When people fear the government, there is tyranny. The strongest reason for the people to retain the right to keep and bear arms is, as a last resort, to protect themselves against tyranny in government".
Sasa basi mm sioni sababu zozote sisi na serekali yetu kushimdwa kuandika katiba ya kwanza toka uhuru wa 1961. Tumekua watu wenye kushindwa kumaliza mambo kwa wakati kwa mfano kabla hata jambo halijakamilika tunahamia kwenye mambo mengine; mm najua ni mbinu za kiasiasa ila sioni sababu ya sisi kushindwa kufanya jambo ambalo litaisaidia nchi yetu kufikia lengo kuu.
Nadhani tunahitaji kujirekebisha na kufanya mambo makubwa. Wazo la katiba kwa EAC lilikuwa letu lkn kenya ilifanya kweli kuleta mabadiliko kwenye siasa yake mana kenya si ya mtu mmoja na hata Tanzanian si ya kundi fulani ni wetu sote watanzania na kwa hilo tunahitaji kuheshimiana.
Nanuku kutoka kwa Thomas Jefferson ktk khotuba yake maarufu: "When the government fears the people, there is liberty. When people fear the government, there is tyranny. The strongest reason for the people to retain the right to keep and bear arms is, as a last resort, to protect themselves against tyranny in government".
Sasa basi mm sioni sababu zozote sisi na serekali yetu kushimdwa kuandika katiba ya kwanza toka uhuru wa 1961. Tumekua watu wenye kushindwa kumaliza mambo kwa wakati kwa mfano kabla hata jambo halijakamilika tunahamia kwenye mambo mengine; mm najua ni mbinu za kiasiasa ila sioni sababu ya sisi kushindwa kufanya jambo ambalo litaisaidia nchi yetu kufikia lengo kuu.
Nadhani tunahitaji kujirekebisha na kufanya mambo makubwa. Wazo la katiba kwa EAC lilikuwa letu lkn kenya ilifanya kweli kuleta mabadiliko kwenye siasa yake mana kenya si ya mtu mmoja na hata Tanzanian si ya kundi fulani ni wetu sote watanzania na kwa hilo tunahitaji kuheshimiana.