Pre GE2025 Hivi ni mimi pekee siwaelewi Hawa wapinzani?

Pre GE2025 Hivi ni mimi pekee siwaelewi Hawa wapinzani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Trinity

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
1,828
Reaction score
3,508
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha.

Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote.

Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na viongozi waliopo madarakani.

Sina nia mbaya Wala sitetei kwamba walioko madarakani wanafanya mazuri, No. Kuna muda wanapatia kuna mambo wanazingua.

Nilitarajia washika madarakan watarajiwa wakawa wanakuja na loyalty kwa wananchi wakipewa Nchi, mfano;
Hivi sasa watu wanahangaika ajira, sisi CHADEMA au ACT au CUF tuchagueni tukiingia madarakani ajira zitatolewa Kwa asilimia 95 tofauti na sasa asilimia 5 pekee, Issue ya afya, tutatoa bima bure Kwa wazee na watoto.

Tutaweka kikokotoo kizuri labda mtu akistafu atachukua michango yake asilimia 85 tofauti na sasa asilimia 20 pekee. N.k n.k

Yapo mambo mengi ambayo yanapaswa yazungumzwe iwapo chama x kitashika madaraka na sio ujinga unaoendelea.

Hivi Hawa watu akili zipo wapi ndo maana wanagongwa virungu Kila siku.

Wananchi tunataka kusikia tukiwapa Dora mtafufanyia nini na si haya mnayoyafanya hivi sasa.

Badilikeni aisee tunataka kumuona Tundu Lissu ikulu siku moja.

Angalau Lowassa alipogombea alikua anazungumza nini atafanya side yake ikiwa atapewa madaraka lkn sema ndo hivo mzee wangu Magu alimzidi kete katika kunadi sera but alileta competition kubwa.

Think positive.
 
Ungeambatanisha hivyo vijembe na matusi na sisi tuvione au kuvisikia

Msigwa wa chama tawala unamuelewa na vile vijembe vyake?
 
Yule amechanganyikiwa, jinga kabisa.!

Pale naliona tumbo lenye njaa kali.
 
Kesho wahi ofic yyt ya CCM na kitambulisho Chako Cha CCM tukupee mwamala kdg ,au weka majina yk hapa mama atafanya yakee🤭🤭🤭🤭
 
Kesho wahi ofic yyt ya CCM na kitambulisho Chako Cha CCM tukupee mwamala kdg ,au weka majina yk hapa mama atafanya yakee🤭🤭🤭🤭
Usinivutie huko, mm nipo neutral.!
 
Watu wanashabikia upinzani sio kwa sababu wana sera nzuri bali ni kutoitaka tu ccm, yani ni kama wamepewa option mbili kati ya ccm au upinzani.
 
Watu wanashabikia upinzani sio kwa sababu wana sera nzuri bali ni kutoitaka tu ccm, yani ni kama wamepewa option mbili kati ya ccm au upinzani.
Sasa Kwa nn Hawa chadema wasiboreshe mfumo wao!??
Wajikite kunadi sera, unapomkosoa aliyepo madarakani maana yake unamboresha kwani akisahihisha mapungufu maana yake ndo anakuacha hivo.!

Nikiwa mpinzani naanza na sera ya kuboresha mikataba ya wawekezaji hususan dp world.!
Hivi kweli wananchi wataacha kuweweseka na mimi mgombea mtarajiwa!??
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.!

Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha...
Ndg tuko wengi tusiowaelewa wapinzani wa sasa ,nakumbuka yule mzee dr SLAA alikuwa machine ya kazi mara zote anaongea watafanya nini ,tunahitaji wapinzani wa kweli hawa hawaaminiki.
 
Ndg tuko wengi tusiowaelewa wapinzani wa sasa ,nakumbuka yule mzee dr SLAA alikuwa machine ya kazi mara zote anaongea watafanya nini ,tunahitaji wapinzani wa kweli hawa hawaaminiki.
Nilijua tu wewe ni mbogamboga
 
Ilani yao ya uchaguzi haujawahi kuisoma? Kipindi cha kampeni huwa wanainadi ukae uwasikilize, sio uwalaumu kwa kitu ambacho hujui kama wanafanya.

Siasa za kabla ya kampeni zina malengo tofauti tofauti ili kujenga chama na kumdhoofisha opponent; Uhamasishaji, Utoaji wa elimu ya uraia (TL anafanya vizuri sana kwenye hili) Kupeleka chama kwenye grassroots, Kutafuta wanachama wapya, lots of interventions.

Huelewi au unatusanifu?
 
Ilani yao ya uchaguzi haujawahi kuisoma? Kipindi cha kampeni huwa wanainadi ukae uwasikilize, sio uwalaumu kwa kitu ambacho hujui kama wanafanya.

Siasa za kabla ya kampeni zina malengo tofauti tofauti ili kujenga chama na kumdhoofisha opponent; Uhamasishaji, Utoaji wa elimu ya uraia (TL anafanya vizuri sana kwenye hili) Kupeleka chama kwenye grassroots, Kutafuta wanachama wapya, lots of interventio
 
Naona unajaribu kutetea kiwete badala umshike mkono aweze kutembea afike mbali.!
 
Hivi Hawa watu akili zipo wapi ndo maana wanagongwa virungu Kila siku.

Wananchi tunataka kusikia tukiwapa Dora mtafufanyia nini na si haya mnayoyafanya hivi sasa.
Bro umepatwa na nini?
Kwamba hawa wanagongwa virungu kwa sbb hawana akili?
je ccm wamefanya nini na wameshika dora tangu mkoloni kuondoka?
kutoa ajira 5%!?
kwa nini ccm isiweke kikokotoo kizuri?
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha.

Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote.

Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na viongozi waliopo madarakani.

Sina nia mbaya Wala sitetei kwamba walioko madarakani wanafanya mazuri, No. Kuna muda wanapatia kuna mambo wanazingua.

Nilitarajia washika madarakan watarajiwa wakawa wanakuja na loyalty kwa wananchi wakipewa Nchi, mfano;
Hivi sasa watu wanahangaika ajira, sisi CHADEMA au ACT au CUF tuchagueni tukiingia madarakani ajira zitatolewa Kwa asilimia 95 tofauti na sasa asilimia 5 pekee, Issue ya afya, tutatoa bima bure Kwa wazee na watoto.

Tutaweka kikokotoo kizuri labda mtu akistafu atachukua michango yake asilimia 85 tofauti na sasa asilimia 20 pekee. N.k n.k

Yapo mambo mengi ambayo yanapaswa yazungumzwe iwapo chama x kitashika madaraka na sio ujinga unaoendelea.

Hivi Hawa watu akili zipo wapi ndo maana wanagongwa virungu Kila siku.

Wananchi tunataka kusikia tukiwapa Dora mtafufanyia nini na si haya mnayoyafanya hivi sasa.

Badilikeni aisee tunataka kumuona Tundu Lissu ikulu siku moja.

Angalau Lowassa alipogombea alikua anazungumza nini atafanya side yake ikiwa atapewa madaraka lkn sema ndo hivo mzee wangu Magu alimzidi kete katika kunadi sera but alileta competition kubwa.

Think positive.
Wewe pekeako nd unaetaman kumuon lissu madarkn cc wengin tunataman asipate, kwanz anaongea maneno ya hovyo yule na matusi km yotee, madarakan asiingie yule..
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha.

Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote.

Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na viongozi waliopo madarakani.

Sina nia mbaya Wala sitetei kwamba walioko madarakani wanafanya mazuri, No. Kuna muda wanapatia kuna mambo wanazingua.

Nilitarajia washika madarakan watarajiwa wakawa wanakuja na loyalty kwa wananchi wakipewa Nchi, mfano;
Hivi sasa watu wanahangaika ajira, sisi CHADEMA au ACT au CUF tuchagueni tukiingia madarakani ajira zitatolewa Kwa asilimia 95 tofauti na sasa asilimia 5 pekee, Issue ya afya, tutatoa bima bure Kwa wazee na watoto.

Tutaweka kikokotoo kizuri labda mtu akistafu atachukua michango yake asilimia 85 tofauti na sasa asilimia 20 pekee. N.k n.k

Yapo mambo mengi ambayo yanapaswa yazungumzwe iwapo chama x kitashika madaraka na sio ujinga unaoendelea.

Hivi Hawa watu akili zipo wapi ndo maana wanagongwa virungu Kila siku.

Wananchi tunataka kusikia tukiwapa Dora mtafufanyia nini na si haya mnayoyafanya hivi sasa.

Badilikeni aisee tunataka kumuona Tundu Lissu ikulu siku moja.

Angalau Lowassa alipogombea alikua anazungumza nini atafanya side yake ikiwa atapewa madaraka lkn sema ndo hivo mzee wangu Magu alimzidi kete katika kunadi sera but alileta competition kubwa.

Think positive.
SGR waliipinga,JNHP walikataa,fly over walikataa ,ATCL walikataa binafsi nilishashindwa kuelewa sera za upinzani wanafikiri upinzan ni kupinga kila kitu
 
SGR waliipinga,JNHP walikataa,fly over walikataa ,ATCL walikataa binafsi nilishashindwa kuelewa sera za upinzani wanafikiri upinzan ni kupinga kila kitu
Wanapinga halafu hawana plan B, nini wao wangekifanya.!

Shame on opposition parts.!
 
SGR waliipinga,JNHP walikataa,fly over walikataa ,ATCL walikataa binafsi nilishashindwa kuelewa sera za upinzani wanafikiri upinzan ni kupinga kila kitu
Hahahaha sema kupinga miradi ya JPM walizingua sanaaa,

SGR hadi dakika ya mwisho walikuwa wanaombea ifeli, siku ikipata changamoto utaona wanavyoshangilia hahah
 
Sasa Kwa nn Hawa chadema wasiboreshe mfumo wao!??
Wajikite kunadi sera, unapomkosoa aliyepo madarakani maana yake unamboresha kwani akisahihisha mapungufu maana yake ndo anakuacha hivo.!

Nikiwa mpinzani naanza na sera ya kuboresha mikataba ya wawekezaji hususan dp world.!
Hivi kweli wananchi wataacha kuweweseka na mimi mgombea mtarajiwa!??
Hayo mapungufu ya ccm ndio kama fursa kwa chadema hivyo huko kukosoa serikali kunawapa umaarufu Chadema, kwahiyo wanachokifanya ni kuonyesha kuwa ccm hawafai kuendelea kubaki madarakani kutokana na hayo mapungufu.

Swali linabaki wao chadema mbali na huko kukosoa je wana shawishi kuwa ndio wenye kufaa kuongoza nchi endapo ccm itatoka madarakani?
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Moja Kwa moja, mimi sio mwanaharakati na sitaki kujihusisha.

Pamoja na hayo nikipata nafasi ya kuwasikiliza Hawa jamaa ni kama hawana mwelekeo wala mpango wowote.

Ukiwasikiliza sana utasikia vijembe na matusi pekee dhidi ya serikali na viongozi waliopo madarakani.

Sina nia mbaya Wala sitetei kwamba walioko madarakani wanafanya mazuri, No. Kuna muda wanapatia kuna mambo wanazingua.

Nilitarajia washika madarakan watarajiwa wakawa wanakuja na loyalty kwa wananchi wakipewa Nchi, mfano;
Hivi sasa watu wanahangaika ajira, sisi CHADEMA au ACT au CUF tuchagueni tukiingia madarakani ajira zitatolewa Kwa asilimia 95 tofauti na sasa asilimia 5 pekee, Issue ya afya, tutatoa bima bure Kwa wazee na watoto.

Tutaweka kikokotoo kizuri labda mtu akistafu atachukua michango yake asilimia 85 tofauti na sasa asilimia 20 pekee. N.k n.k

Yapo mambo mengi ambayo yanapaswa yazungumzwe iwapo chama x kitashika madaraka na sio ujinga unaoendelea.

Hivi Hawa watu akili zipo wapi ndo maana wanagongwa virungu Kila siku.

Wananchi tunataka kusikia tukiwapa Dora mtafufanyia nini na si haya mnayoyafanya hivi sasa.

Badilikeni aisee tunataka kumuona Tundu Lissu ikulu siku moja.

Angalau Lowassa alipogombea alikua anazungumza nini atafanya side yake ikiwa atapewa madaraka lkn sema ndo hivo mzee wangu Magu alimzidi kete katika kunadi sera but alileta competition kubwa.

Think positive.
Of course, inawezekana hutaki kuwaelewa au huwaelewi. Actually, tumewapa jina negative (wapinzani - wanaoping). Neno positive ni washindani - vyama vingine vya siasa isipokuwa chama kinachoongoza serikali. Hivi vyama vinaisaidia serikali kuona/kujua upungufu wake na kuufanyia kazi ili kuwaletea wananchi maendeleo. Hata kama inachukua muda kwa vyama hivi kuingia madarakani, provided vinaisaidia serikali kuwsjibika zaidi kwa wananchi, vinakuwa vimetimiza wajibu wao. Na hili ni jambo jema. Sasa kama haya wewe huyajui, labda utakuja kuyajua baadaye. Keep your eyes, ears and mind open.
 
Back
Top Bottom