Hivi ni mimi tu au na nyie mnaliona hivyo: Internet ya Vodacom inasumbua sana

Hivi ni mimi tu au na nyie mnaliona hivyo: Internet ya Vodacom inasumbua sana

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Ni kama miezi kadhaa naona mtandao wa vodacom unazingua kwenye kupiga simu kawaida na internet.
Huko kwenye internet ndiyo utakuta ina load mwaka hadi MB zinakata.

Najiuliza hili tatizo ni kwangu tu au na Kwa wengine mnaotumia voda mna changamoto hiyo?
 
Ni kama miezi kadhaa naona mtandao wa vodacom unazingua kwenye kupiga simu kawaida na internet.
Huko kwenye internet ndiyo utakuta ina load mwaka hadi MB zinakata.

Najiuliza hili tatizo ni kwangu tu au na Kwa wengine mnaotumia voda mna changamoto hiyo?
Kwako wewe tu,halafu ndani ya miezi mitatu naona speed imeongezeka balaa kuliko kawaida
 
Unaishi wapi ? Miliman au bonden? Hii ni factor pia,,,, simu yako uwezo wake upoje,,,, ! Voda Internet niliwakimbia mda sana, mb zinaenda kama Mtu unamwaga maji vile,,,,, ! Nimebanana tigo na halotel,,,,
 
Back
Top Bottom