Hivi ni mimi tu ndio nakereka na hii tabia au tupo wengi

Hahaha tutaishia kupigwa ban mpenzi, ingawa kuna muda tit for tat inakuwa inahitajika sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila watu Kama hao unawapotezea tu hamna namna
 
Mi pia hua sipendi. Anaeniletea huo ushamba kama ni mtu mzima hua naondoka namuachia movie aangalie ntarudi ikiisha ila kama ni rika langu hua nazima tunachotumia kuangalia then namwambia asimulie
 
Sipendi kuangalia movie na Mtu.

Me sipend na siwezi kuangalia movie na mtu, kuna uhuru unatakiwa uwe nao wakati wa movie sio inafika sehem kuna hali ya kutisha au mambo mengine mtu anaskip kwa faida yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…