Hivi ni Mkuu wa Jeshi au Mkuu wa Majeshi

Hivi ni Mkuu wa Jeshi au Mkuu wa Majeshi

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
358
Reaction score
1,887
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania
 
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (JWTZ).
JWTZ ina Kamandi nyingi (majeshi);
Anga
Nchi kavu
Majini
N.k

Hizo Kamandi zote boss wao ndio CDF (Mkuu wa Majeshi).

Kumbuka tu, hizi taasisi zingine ni vyombo vya usalama ilihali JWTZ ni chombo cha Ulinzi sijui kama unaelewa tofauti hapo?
 
Majeshi yote ulinzi na usalama

Majeshi ya Ulinzi tu ndo yanamhusu (Kamandi ya Anga, Majini, Nchi kavu, JKT, Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi).

Vyombo vya usalama haviko chini yake ndio maana vina wakuu wake;
Polisi-IGP
TISS-DG
Magereza - CGP
Fire -CGF
Immigration- CGI

Ukirudi kwenye itifaki ya kijeshi JWTZ ndio jeshi senior.

Boss wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais (Amiri Jeshi)
 
Majeshi ya Ulinzi tu ndo yanamhusu (Kamandi ya Anga, Majini, Nchi kavu, JKT, Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi).

Vyombo vya usalama haviko chini yake ndio maana vina wakuu wake;
Polisi-IGP
TISS-DG
Magereza - CGP
Fire -CGF
Immigration- CGI

Ukirudi kwenye itifaki ya kijeshi JWTZ ndio jeshi senior.

Boss wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais (Amiri Jeshi)
Good explanation
 
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania, + Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania ,umizeni vichwa majibu mnayoyatoa siyo sahihi
 
Naomba ufafanuzi hivi huyu mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote kwa maana ya jeshi la police, jeshi la magereza au ni mkuu wa jeshi la wananchi Tanzania
Jeshi la kujenga taifa ndiyo ninalolijua. Hayo majeshi unajumuisha na m23 nje ya mipaka?

Kwanza kule ni waasi siyo jeshi tena[emoji16][emoji16]
 
Majeshi ya Ulinzi tu ndo yanamhusu (Kamandi ya Anga, Majini, Nchi kavu, JKT, Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi).

Vyombo vya usalama haviko chini yake ndio maana vina wakuu wake;
Polisi-IGP
TISS-DG
Magereza - CGP
Fire -CGF
Immigration- CGI

Ukirudi kwenye itifaki ya kijeshi JWTZ ndio jeshi senior.

Boss wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais (Amiri Jeshi)
Excellent!
 
Back
Top Bottom