Hivi ni mwanamke gani humu jf unafikiri anapendwa sana ?

Yaani shoga acha tu.
Sijui nikupe password yangu kwa muda ukachungulie.
Yaani wengine mpaka siamini.
Jukwaani wako kimyaaaa....ila pm tunavyokimbizana sasa, kama paka na panya
Kama malkia wa nyuki vile, lile dume litakalofanikiwa kuruka juu sana mpaka kumfikia malkia ndio linakula tamtam ya malkia wa nyuki,lakini baada ya hapo na dume linakufa!

Yaani maisha ya mwanaume ni kupambana kwa ajili ya mwanamke hadi mwisho wa maisha yake
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
Utabiri wangu siku zote upo sahihi kwa sababu nimefanya utafiti kwa zaid ya miaka minne katika hili

Sijawahi kua na shaka kua Hajar utaibuka kua kinara wakishindanishwa wapendwao zaidi katika mabanati humu ndani

Kwa ufupi unayo kura yangu mamii
 
Yaani shoga acha tu.
Sijui nikupe password yangu kwa muda ukachungulie.
Yaani wengine mpaka siamini.
Jukwaani wako kimyaaaa....ila pm tunavyokimbizana sasa, kama paka na panya
Hisia kitu cha ajabu sana aisee,mimi mwenyewe kuna mwanamke/mrembo mmoja humu nampenda ajabu. Nikimtaja huwezi kuamini kabisa.
 
Utabiri wangu siku zote upo sahihi kwa sababu nimefanya utafiti kwa zaid ya miaka minne katika hili

Sijawahi kua na shaka kua Hajar utaibuka kua kinara wakishindanishwa wapendwao zaidi katika mabanati humu ndani

Kwa ufupi unayo kura yangu mamii
Ahsante sana. Ila Sesten umemwelewa mleta uzi. 😜😜😜😜

Au ndio waniuza jamaani. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…