Hivi ni mwanamke gani humu jf unafikiri anapendwa sana ?

Yaani shoga acha tu.
Sijui nikupe password yangu kwa muda ukachungulie.
Yaani wengine mpaka siamini.
Jukwaani wako kimyaaaa....ila pm tunavyokimbizana sasa, kama paka na panya
Ngoja nikutext [emoji23][emoji23][emoji23]
 
~Sky Eclat
~Mzigua90

~na huyu Madame anayejisikia,msomi mchakarikaji,Presenter na Mwandishi...

aliyezaliwa Mo Town...mwenye asili ya Ufugaji,pingu za maisha na nshomile.. ~The iron Batterifly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…