karibu lunch dia, ugali,bamia na matembele[/QUOTE]
umenishusha mate, hiyo kitu cjaila cku nyingi sana, umenitamanisha tembele la nyama...watu mna makusudi na lunch tym hii mie mdomo umejaa mate...karibu mbege baridi.
nilitaka nigome kuondoka yan ipite siku bila kunianza.......naja mwaya
kuna pilipili apo?ya kupikwa au mbch????
mmmmmmh!Kweli kumpata mwanamke wa kuoa nyakati hizi ni kazi!
Ipo pilipili mbichi dia, usijali!Angalizo:usikombe mboga!!!!!!!!!!!!!!!
nkikomba mboga chumvi asi ipo au?
kwan mchanga utakua mbali kiivo??ukinikoa nachukua mchanga puuuh kwenye mboga then nasepa...........nkaribishe uone gemu lake!!!Dawa yako ni ndogo tu!ukijidai we ni mkombaji basi mi nakuhesabia matonge!ukizidisha tu nakukoa!halafu siku nyingine sikukaribishi
atakuja kuanza nxt monday bt pleeeeese msisitize mwambie aache kuamini ratio ni sehemu mf
5/4 imekaa ki mfalme vs mtumwa
2:2 imekaa kirafiki kila kitu sambamba
adadafue namba kwa jicho la sosho na siyo jicho la hisabati!!!!!!(katika mada i)
sijawahi kunywa mbege ya baridi, huwa natumia ya moto!hivi ina ladha gani vile Nyamayao????
kwan mchanga utakua mbali kiivo??ukinikoa nachukua mchanga puuuh kwenye mboga then nasepa...........nkaribishe uone gemu lake!!!
asi kwa sababu namlipa mimi?asa Rose mbona unamchakachua mwalimu? lol
wacha tu, mie mbege ya baridi ndio huwa na enjoy, ofcn wanakoma wenyewe, nimeshusha chipc sausage nasukumia na mbege, shughuli naniyo kila asubuhi kama ipo bac haaa najibebea kwenye kachupa ndio soda yangu ya mchana...tamu kweli kweli, huwa cwezi kumaliza week cjanywa mbege kwa kweli..
asi kwa sababu namlipa mimi?
kwan maprof wetu wanatoa ripot zao kulingana na MLIPAJ?
mfamaj anakiwa amfundshe material acc to ma wish na si vngnevyo .nkiosema njano ni nyeusi inabidi aone ivyo ..gari ni kitanda inabd aone ivyo ole wake aende kinyume na matakwa yangu
si kwamba siujui ualimu ila naeshmu proffesnalism UNDER DONORs WISH.
wacha tu, mie mbege ya baridi ndio huwa na enjoy, ofcn wanakoma wenyewe, nimeshusha chipc sausage nasukumia na mbege, shughuli naniyo kila asubuhi kama ipo bac haaa najibebea kwenye kachupa ndio soda yangu ya mchana...tamu kweli kweli, huwa cwezi kumaliza week cjanywa mbege kwa kweli..
fild ya nini? ili ukimaliza fild udai graduation?Orait so "he who pays the piper........"
sasa mfadhili baada ya kukubaliana na mwalimu itabidi niende field practicle ama vipi...:tape:
Wote wana jukumu la kulinda mahusiano.Jamani naombeni msaada hapa, hivi katika mahusiano ni Mwanamke tu ndio anayetakiwa kusacrifice kila kitu kwa ajili ya relationship?au hata Mwanaume anaweza kusacrifice?
fild ya nini? ili ukimaliza fild udai graduation?
ukimaliza ya darasani inatosha sina ela ya kugharamia mahafali mimi
si lazima theory awe rafiki yake practical sometimes theory goes by itself!!!!!!!
Ni kweli Nyamayao lakini hiyo mbege itengenezwe na mchaga wa ukweli sio hawa wanaochakachua hapa mjini kisha wanatupa mbege hata ladha yake inakuwa haieleweki kabisa