U ubarinolutu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2012 Posts 2,424 Reaction score 4,954 Feb 15, 2025 Thread starter #21 Lycaon pictus said: Utumwa wa kifikra. Hata hivyo wote Nyerere, Mkapa etc ni wababaishaji wa Ze,ze,ze. Ni ngumu kuwa nguli wa lugha kama siyo lugha yako ya kila siku. Click to expand... Wewe CCM nini
Lycaon pictus said: Utumwa wa kifikra. Hata hivyo wote Nyerere, Mkapa etc ni wababaishaji wa Ze,ze,ze. Ni ngumu kuwa nguli wa lugha kama siyo lugha yako ya kila siku. Click to expand... Wewe CCM nini
M Mzee wa old school JF-Expert Member Joined May 16, 2021 Posts 873 Reaction score 1,405 Feb 15, 2025 #22 ubarinolutu said: Jikite kwenye hoja, au umsikilizagi wasira Click to expand... Hiyo hoja haina uzito....
ubarinolutu said: Jikite kwenye hoja, au umsikilizagi wasira Click to expand... Hiyo hoja haina uzito....
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 1,568 Reaction score 1,923 Feb 15, 2025 #23 Ni utumwa kufikiri na kuongea kwa lugha ya kigeni.. Ila shida ya lugha yetu ya kiswahili ina pelea sana ukilinganisha na kiingereza Lugha yetu bado changa!
Ni utumwa kufikiri na kuongea kwa lugha ya kigeni.. Ila shida ya lugha yetu ya kiswahili ina pelea sana ukilinganisha na kiingereza Lugha yetu bado changa!
D Dr wa Manesi JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 997 Reaction score 1,220 Feb 15, 2025 #24 Mi namuomba anayejua kingindo
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 6,581 Reaction score 11,572 Feb 15, 2025 #25 Lugha ya Kiingereza ni chombo cha mawasiliano tu.