Hivi ni nani aliyemroga Rich Mavoko?

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Huyu jamaa nakumbuka sana jinsi alivyokuja kwa kasi sana na hit songs zake kama Silali, Marry me, Follow me, Roho yangu.

Hadi nakumbuka kuna interview moja msanii Diamond aliwahi kukiri kuwa Rich Mavoko ndiye msanii peke anayemuhofia sababu ya kipindi hicho huyu jamaa nyimbo zake zilikuwa zinabamba sana.

Ila kwa sasa huyu jamaa simuelewi kabisa hasa huu ukimya wake wa muda mrefu, tangu mwezi wa 2 yeye anasema coming soon mpaka tumechoka, hivi sasa hata nimejaribu kumfatilia insta sijaona kipya zaidi ya kupost habari za Magufuli tu!

Sasa je, ndio kusema wenzake wanamroga hadi asijitambue?
 
Shardcole mkuu belle9 na richmavoko tatizo lao linafanana ni management tu basi ila wapo vizuri
 
Last edited by a moderator:
namkubali sana rich mavoko hasa hii nyimbo ya pacha wangu inanikumbusha mbaaali sana kanikera alivyojichubua tu
 
Tangu alivyo anza kujichubua bhasiii na kipaji cha mziki kmepunguaa
 

Rich Mavoko alisign contract na King Kaka Empirer Production, Kenya, ya Kaka Sungura. Wametoa collabo mbili na Rabbit Kaka Sungura na zinatesa sana huku Kenya. Poleni, R.M si wenu tena.
 
Sasa nasikia kapelekwa polisi kisa anaidaiwa laki nne. Dih wasanii wa bongo banaa
 
Tatizo amekosentreti na kujichubua....
 
mbona ametoa wimbo mpya unaitwa kidonda cha mapenzi
 
management mazee...game ngumu sana msione diamond na kiba wanatoboa!watu wanamwaga mzigo sana ili muwasikie kila siku!.....kuna mtu mbishi kama mwanaFA?jiulize kwanini mabreak mengi katika game japo ana back up ya clouds.......tukubali au tukatae utawala wa diamond umeibadilisha sana hii game iwe kwa uzuri au kwa ubaya!...rich mavoko ilikuwa lazma apotee kwani alikuwa ana udiamond flani!....kama si utu uzima dawa hata king kiba tusingemsikia tena!
 

Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…