Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Hivi ni nani ana mamlaka ya kuprint hela???? Kampumi gani ina print hela? Na wanafuata principles zipi,??? Kuna uhusiamo gani kati ya b.o.t na hao wanaoprint hela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwah msikia MTU wa bot akisema kuna kamoun tofaut tifaut znazotengeneza fedha zetu ya MF. Wanaotengeneza buku 2 ni tofaut na kampun inayotengeneza buku tenHivi ni nani ana mamlaka ya kuprint hela???? Kampumi gani ina print hela? Na wanafuata principles zipi,??? Kuna uhusiamo gani kati ya b.o.t na hao wanaoprint hela?