Hivi ni nani anayefuta hizi thread za TCU humu?

Hivi ni nani anayefuta hizi thread za TCU humu?

Status
Not open for further replies.
Mkuu Curious21,

Kumekua na kuongezeka kwa kasi kwa habaru juu ya TCU hasa kuhusiana na matokeo kutoka. Kwa bahati mbaya wengi wa wanao rusha habari hizo hurusha bila kuwa na taarifa kamili na kuwafanya kurusha mabandiko yasiyo jitosheleza, mengine yaliyosheheni uzushi na utani - hivyo kuleta usumbufu kwa wengi wanaofuatilia na kusubiri taarifa toka TCU.

Mabandiko ya aina hiyo yote yametolewa na kutupwa kupuni, na yataendelea kutolewa hadi pale habari ya uhakika itakapo rushwa.

Wasalam!
 
Jamaani nikitumia simu yangu, *150*44#, log in, username passwd, admission, sion kozi nliyopangiwa naombeni msaada wenu kwa ninyi ambao mmeshaona mlikopangiwa
 
Mkuu Curious21,

Kumekua na kuongezeka kwa kasi kwa habaru juu ya TCU hasa kuhusiana na matokeo kutoka. Kwa bahati mbaya wengi wa wanao rusha habari hizo hurusha bila kuwa na taarifa kamili na kuwafanya kurusha mabandiko yasiyo jitosheleza, mengine yaliyosheheni uzushi na utani - hivyo kuleta usumbufu kwa wengi wanaofuatilia na kusubiri taarifa toka TCU.

Mabandiko ya aina hiyo yote yametolewa na kutupwa kupuni, na yataendelea kutolewa hadi pale habari ya uhakika itakapo rushwa.

Wasalam!

Mbona lakini kuhusu kutoka kwa selection sio uzushi,ni habari za kweli
 
Hizo thread acheni kuzifuta bwna maana sis tunapata kamoyo humooooooooooo:wave:
 
Mkuu Curious21,

Kumekua na kuongezeka kwa kasi kwa habaru juu ya TCU hasa kuhusiana na matokeo kutoka. Kwa bahati mbaya wengi wa wanao rusha habari hizo hurusha bila kuwa na taarifa kamili na kuwafanya kurusha mabandiko yasiyo jitosheleza, mengine yaliyosheheni uzushi na utani - hivyo kuleta usumbufu kwa wengi wanaofuatilia na kusubiri taarifa toka TCU.

Mabandiko ya aina hiyo yote yametolewa na kutupwa kupuni, na yataendelea kutolewa hadi pale habari ya uhakika itakapo rushwa.

Wasalam!

Sawa mkuu hii idea ina make sense
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom