Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Inafahamika kwamba mwanaume anamfikisha kilele ni mwanaume "anaefaa" kwa dunia yetu ya leo.Tatizo linakuja namna ya kumfikisha kilele mwanamke!Wataam wa masuala hayo wamejaribu kuainisha namna ya kufanikisha zoezi hilo.Wapo waliosema maumbile ya mwanaume yanahusika(uume)yaani ukubwa wake.Lakini imekuja kufahamika wazi kuwa maumbile ni kwa sehemu ndogo sana kwani kuna mambo mengine yanahusika na lililo kubwa la kwanza ni hali ya kisaikolojia ya mwanamke huchangia kwa kiasi kikubwa,hata ufanye nini au uwe na uume wa aina gani kama mwanamke ana stress ni kazi bure.Lakini pamoja na ufahamu huo kuwa mwanamke anaweza kuridhishwa bila kuingiliwa(mfano ma-lesbian)lakini ni kwanini wanaume tumekua wateja wa dawa za kuongeza ukubwa wa tupu zetu?Au wanawake ndo chanzo?Yaani wanawalalamika kuna upungufu mahali?Pamoja na madhara ya kiafya yanayotupata dawa hizi zimekua zikiuzwa kama njugu,tatizo liko wapi?