Leo nilikuwa kawe kwenye msiba wa Askofu Jonathan kwanza nilikuwa nahuzuni kweli moyoni.
Mpaka pale alipo panda Askofu mkuu wa makanisa ya Calvary akatoa maneno ya kuchangamsha kusahaulisha msiba kidogo moyo ukalainika huzuni ikapungua
Katika kuendelea endelea pale akatoa maneno mazuri mazuri watu wakajisahau wakaanza kumtunza na hela sio mbaya
My point nipale mkuu wa mkoa alivyo panda watu wakaanza kuipiga makofi. Je, ni sahihi kwenye msiba kupiga piga makofi sio kero kwa wafiwa kweli nimeshangaa