Babra samahani natoka nje ya mada!
Unajua nakupenda hadi shetani anachukia? niko chini ya miguu yako (na macho nimeyafumba) naomba urudie lile jina lako la zamani, mwenzio napata shida kweli kukuzoea!!
(Ni ombi tu dada.....au ndo mambo ya mr anapendad lol kaizer vibaya hivyo-unadictate hadi jina!)
Ehee haya twambieni kwa nini hampeani shkamoo wewe na mwenzio?
Bado hujaweza kufind hiyo unknown tu? Muda unakweda if you really mean it !
Wakuu habari zenu!
Hili jambo limekuwa likinitatiza sana tena sana...Utakuta binti au mwanamke aliyeolewa anamwamkia mume wake eti kwakuwa mwaume ni mkubwa kiumri kuliko mkewe,mimi hii sielewi kabisa..What I know mke na mume ni mtu na rafiki yake tena ndio best friends na kwaninavyofahamu maana shikamoo naona haistahili kufanyika kwa wapendanao..mimi kwangu naona haina maana kabisa kumpa shikamoo mumeo hata kama amekuzidi miaka 40! Lakini kila kukicha nasikia watu wakiwaamkia waume zao..Jamani hivi hii imekaaje?je ni sawa?
Nimeipenda hiyoo.Waacheni wenzi watumia salamu wapendayo, ikiwa wanaifurahia.....iwe shikamoo, mambo switi, vipi dia, laazizi hujambo, za asubuhi baba toni, umeamaje mpenzi, sema mahabuba n.k.
skamooni wooote humu!
mimi sijambo.
Si wanaifurahia? Hakuna kosa kusalimiana salamu ya aina yoyote. Hakuna fomula ya jinsi ya kuishi na mwenzi wako. Kila couple inaishi kivyakevyake.
niliona dada mmoja, mmewe wanakaribiana kabisa kiumri eti kila siku anamwamkia shikamoo baba /shikamoo mme wangu
hii nzuri zaidi lakini inakuwa nzuri na kupendeza na kutia hamasa mara tatu zaidi pale inapokuwa shikamoo sweet, umeamkaje?nitasema tu sweet umeamkaje
duh!!!! Kimbweka wewe, unalilia ban eehYaani kila siku mnaanikiana vidudu vyenu kweupee na kila mmoja anaona cha mwenzie na kubingirika misarakasi ya kila aina ! Halafu asubuhi usikie kashikamooo mie ntamjibu shikameee
du siwezi kuamka asubuhi na kumpa mme wangu shikamoo ..
eeeh hapana haiji moyoni mwangu
nitasema tu sweet/or mme wangu umeamkaje
niliona dada mmoja, mmewe wanakaribiana kabisa kiumri eti kila siku anamwamkia shikamoo baba /shikamoo mme wangu
it doesnt make any sense.
usiponiamkia nakusaidia kufungasha virago kukurudisha kwenu!! mbona wengine wakiamka wanabusiana? kwa sisi wengine kale kashikamoo kaasubuhi kana utamu kama wa busu hivi!