Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
Hivi ni sahihi mwanaume kumsaidia kazi za ndani mkewe kama kuosha vyombo, kupika na kuogesha watoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi kama hakuna msaidizi wa kazi(Hg - Mercury - Beki 3).Hivi ni sahihi mwanaume kumsaidia kazi za ndani mkewe kama kuosha vyombo, kupika na kuogesha watoto??
Sahihi kbs,hasa mkiwa hamna dada. Me huwa nawaosha makidi wangu wanne,moja akimaliza anenda rum kwao mke anawavalisha,naosha vyombo,kupika sana sana kukaanga mayai 🤣..nafua of koz na mashine..nazingine zingine,ila kupiga deki kwa kweli nimeshindwa.. 😀Mke ni mtu wa kumsaidia sana kila uwezavyoHivi ni sahihi mwanaume kumsaidia kazi za ndani mkewe kama kuosha vyombo, kupika na kuogesha watoto?