Hivi ni siku ya wanawake duniani au siku ya kupinga mfumo dume kwenye jamii?

Hivi ni siku ya wanawake duniani au siku ya kupinga mfumo dume kwenye jamii?

Zemanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
8,323
Reaction score
18,051
Ikiwa ni siku chache zimepita tokea maazimisho ya siku ya wanawake duniani na hapa inchini kwetu ambayo iligubikwa na mfululizo wa vibweka,mbwembwe,tambo,mikwala/lawama dhidi ya wanaume, vitu ambavyo vilifanywa na wazi wazi na wanawake wanaojinasibu kuwa ni public figure na mfano wa kuigwa na wanawake wote eneo la uongozi.

Kada ya kiume imeshuhudia bila doubt yoyote mtazamo wa wanawake viongozi juu ya kada ya wanaume in general katika jamii. Its clear motive yao na malengo si kutafuta usawa tena bali ni kueliminate na kuharibu presence na influence ya kiume maeneo yote ya jamii,siasa,elimu,uchumi na kwengineko ambapo mwanaume ndie mshika dhamana.

Siku ambayo ilitakiwa kuwa siku ya tafakari ya uwepo wa mwanamke katika jamii na kuwapa mwangaza watoto wetu wa kiume kuwajua wanawake na wa kike kujifunza juu ya uanamke ghafla imegeuka kuwa siku ya kufanya " public reverse discrimination" dhidi ya wanaume, kuwadogosha watoto wa kiume na kudhihaki wanaume lakini pia kuiambia jamii namna wanawake especially waliopo katika uongozi namna wanajaribu kila kukicha kutokuona umuhimu wa uwepo wa wanaume katika jamii na kuunda utopian female/women only society. Speech zao hazipitishi sentensi mbili bila kuwataja wanaume kama chanzo au sababu ya maumivu ya wanawake au sababu ya wanawake kurudi nyuma.

Huwa natafakari juu ya miaka michache ijayo kama huu upuuzi utaendelea impact kwenye saikolojia ya watoto wetu especially watoto wa kiume in the short and long run period.
Kuna vitu vya kuhoji. Hivi kama wanajamii tumejiridhisha na afya za akili za hawa tunaowaita ni viongozi wa kike?

Ni kweli wapo pale kupigania masilahi ya jamii ikihusisha kutuonyesha wanaume mchango wa wanawake katika maeneo ambayo kweli wanaume tungehitaji uwepo wa wanawake kutupa sapoti tunayohitaji sio wanayolazimisha kutupa?

Je,hawa watu influence yao kama viongozi wa kike inapimwa katika mizani gani kutoka kwetu wanajamii tukijiridhisha kuwa wanafanya kazi inayolenga matarajio na uhitaji wa wanajamii kwa ujumla?

Ujengaji wao wa hoja hafifu zenye ukakasi na elements za ushindani na ubaguzi dhidi ya wanaume ndani yake, ni akina nani wanabariki na kuzihalalisha kuwa ni sahihi?

Kiukweli zamani nilikuwa naona siku ya wanawake ni siku muhimu katika jamii yetu maana niliona taswira ya utetezi wa mama zetu,bibi zetu na watoto wetu wa kike ila kwasasa ikifika hii siku huwa nashikwa na hasira,nakuwa very disappointed and aggravated ,nakwazika na kuchukizwa na kila kinachoendelea kwasababu ya mabadiliko ya contents za siku hii ambayo ilikuwa muhimu zamani. Kwasasa naona haina tofauti na siku ya LGBTQ parade na lengo lake ni kutoa matamko haramu yanayokiuka maadili ya jamii yet una yanalenga kudogosha watoto wetu wa kiume na kuharibu akili za watoto wetu wa kike.
 
Wanawake bwana hadi siku yao ilianzishwa na mwanaume😅😅
Screenshot_20250311-164323.jpg
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kutaka ionekane kama vile wanawake wanataka kuwatawala, wanawake wanachotaka ni kujitawala wenyewe sambamba na kuwa na vipato vyao wenyewe, ni inferiority complex mliyonayo ndio inafanya muanze kuplay victim na kucreate mountains out of plateaus
Kama lengo ni kujitawala wenyewe kwann mnaingia katika platforms za wanaume na kulazimisha wanaume washiriki michakato yenu ya kujitawala?

Kujitawala kuna mtu anawatawala au kuwaweka kwenye utawala wowote ule?

Kimsingi mnachofanya ni kutake advantage ya kuachiwa kuongea na kutoa maoni na kuanza kufanya mambo ya kitoto na yasiyo na tija kwa watoto wa kike na hata wanaume na jamii kwa ujumla.

Tunapokwenda miaka si mingi hii siku itaanza kupoteza malengo yake maana kadiri siku zikienda hii siku inakuwa inatukumbusha wanawaume kuwa tunasapoti watu wasiotusapoti wala kuheshimu uwepo wetu.
 
Tunakokwenda mwanamke atarani Dunia....
Shida ni mnatazama sana movie hadi mnashau kuna uhalisia. Ninachokiona huko mbeleni ni kutakuja kuonekana ukweli kuwa mwanamke akiachiwa uhuru wa maamuzi anaiharibu jamii na hivyo arejeshwe ndani na kuwekewa sheria kali kushinda zile za taleban.

Fuatilia huko majuu (Us na Europe) tayari kuna research kibao zimeshadhihirisha kuwa wanawake wamekuwa mzigo wa maendeleo na ripoti nyingi za mapambio zinaonyesha kuwa zinapikwa na hazi zingatii uhalisia.

Wanataka kupitisha petition wanawake watolewe haki ya kupiga kura wawe na representative tu ila sio wapige kura m'moja m'moja sababu wana mihemko sana eneo la siasa kwa kupigia kura mambo yasiyo na tija kwenye jamii. Fuatilia hii kwenye mitandao kama Twitter utakutana na hizo ripoti. CNN hawawezi kuonyesha.

Ni ngumu sana. Shida inayokuja ni kuwa uzembe wenu wanawake wa sasa mtawabebesh msalaba mzito sana mabinti zetu na wajukuu zetu wa kike miaka ijayo. Maana watahukumiwa kwa ujinga wa kizazi hiki cha wanawake sababu ya viburi na ujuaji wao.
 
Ikiwa ni siku chache zimepita tokea maazimisho ya siku ya wanawake duniani na hapa inchini kwetu ambayo iligubikwa na mfululizo wa vibweka,mbwembwe,tambo,mikwala/lawama dhidi ya wanaume, vitu ambavyo vilifanywa na wazi wazi na wanawake wanaojinasibu kuwa ni public figure na mfano wa kuigwa na wanawake wote eneo la uongozi.

Kada ya kiume imeshuhudia bila doubt yoyote mtazamo wa wanawake viongozi juu ya kada ya wanaume in general katika jamii. Its clear motive yao na malengo si kutafuta usawa tena bali ni kueliminate na kuharibu presence na influence ya kiume maeneo yote ya jamii,siasa,elimu,uchumi na kwengineko ambapo mwanaume ndie mshika dhamana.

Siku ambayo ilitakiwa kuwa siku ya tafakari ya uwepo wa mwanamke katika jamii na kuwapa mwangaza watoto wetu wa kiume kuwajua wanawake na wa kike kujifunza juu ya uanamke ghafla imegeuka kuwa siku ya kufanya " public reverse discrimination" dhidi ya wanaume, kuwadogosha watoto wa kiume na kudhihaki wanaume lakini pia kuiambia jamii namna wanawake especially waliopo katika uongozi namna wanajaribu kila kukicha kutokuona umuhimu wa uwepo wa wanaume katika jamii na kuunda utopian female/women only society. Speech zao hazipitishi sentensi mbili bila kuwataja wanaume kama chanzo au sababu ya maumivu ya wanawake au sababu ya wanawake kurudi nyuma.

Huwa natafakari juu ya miaka michache ijayo kama huu upuuzi utaendelea impact kwenye saikolojia ya watoto wetu especially watoto wa kiume in the short and long run period.
Kuna vitu vya kuhoji. Hivi kama wanajamii tumejiridhisha na afya za akili za hawa tunaowaita ni viongozi wa kike?

Ni kweli wapo pale kupigania masilahi ya jamii ikihusisha kutuonyesha wanaume mchango wa wanawake katika maeneo ambayo kweli wanaume tungehitaji uwepo wa wanawake kutupa sapoti tunayohitaji sio wanayolazimisha kutupa?

Je,hawa watu influence yao kama viongozi wa kike inapimwa katika mizani gani kutoka kwetu wanajamii tukijiridhisha kuwa wanafanya kazi inayolenga matarajio na uhitaji wa wanajamii kwa ujumla?

Ujengaji wao wa hoja hafifu zenye ukakasi na elements za ushindani na ubaguzi dhidi ya wanaume ndani yake, ni akina nani wanabariki na kuzihalalisha kuwa ni sahihi?

Kiukweli zamani nilikuwa naona siku ya wanawake ni siku muhimu katika jamii yetu maana niliona taswira ya utetezi wa mama zetu,bibi zetu na watoto wetu wa kike ila kwasasa ikifika hii siku huwa nashikwa na hasira,nakuwa very disappointed and aggravated ,nakwazika na kuchukizwa na kila kinachoendelea kwasababu ya mabadiliko ya contents za siku hii ambayo ilikuwa muhimu zamani. Kwasasa naona haina tofauti na siku ya LGBTQ parade na lengo lake ni kutoa matamko haramu yanayokiuka maadili ya jamii yet una yanalenga kudogosha watoto wetu wa kiume na kuharibu akili za watoto wetu wa kike.
Ngoja BODI ya LIGI wajee
 
Shida ni mnatazama sana movie hadi mnashau kuna uhalisia. Ninachokiona huko mbeleni ni kutakuja kuonekana ukweli kuwa mwanamke akiachiwa uhuru wa maamuzi anaiharibu jamii na hivyo arejeshwe ndani na kuwekewa sheria kali kushinda zile za taleban.

Fuatilia huko majuu (Us na Europe) tayari kuna research kibao zimeshadhihirisha kuwa wanawake wamekuwa mzigo wa maendeleo na ripoti nyingi za mapambio zinaonyesha kuwa zinapikwa na hazi zingatii uhalisia.

Wanataka kupitisha petition wanawake watolewe haki ya kupiga kura wawe na representative tu ila sio wapige kura m'moja m'moja sababu wana mihemko sana eneo la siasa kwa kupigia kura mambo yasiyo na tija kwenye jamii. Fuatilia hii kwenye mitandao kama Twitter utakutana na hizo ripoti. CNN hawawezi kuonyesha.

Ni ngumu sana. Shida inayokuja ni kuwa uzembe wenu wanawake wa sasa mtawabebesh msalaba mzito sana mabinti zetu na wajukuu zetu wa kike miaka ijayo. Maana watahukumiwa kwa ujinga wa kizazi hiki cha wanawake sababu ya viburi na ujuaji wao.
Usichojua ni kuwa wanawake wengi wanahofu ya Mungu, wakipata nafasi ya kufanya hufanya kwa juhudi na uaminifu...

Hapa nasema wanawake walio na bidii kwa kazi, Biblia inawaita wake wema. Mithali 31:10

NB: Sio wanawake wadangaji
 
Ni maandaliza ya kuleta mfumo wa serikali moja na utawala wa Mpinga kristo
 
Back
Top Bottom