Mkuu, wewe una wadhamini wangapi, walau hata wa mahakamani?Nashindwa kuelewa Ligi kuu ya Tanzania kukosa mdhamini shida nini au TFF wanaweka gharama kubwa kiasi wadhamini wanashindwa? Kama Azam ametoa 80ml kwa kila timu, je makampuni tuliyonayo yanshindwa kudhamini ligi? Au wameshindwa kwenda hata nje ya nchi kutafuta udhamini wakuweza kudhamini ligi yenye kombe lenye thamani ya Tsh Bilioni 1 au hata Milioni 800?