Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 772
- 2,421
Nikiwa kama mpenzi wa soka, nilifanikiwa kuangalia baadhi ya mechi za kombe la mapinduzi hasa zinazohusu timu kubwa za Simba na Yanga.
Niliangalia game ya Simba na mtibwa, binafsi sikuona ubora uliopelekea Kahata akapewa tuzo ya Man of the match siku ile (kwenye mechi na mtibwa).
Pia sikuona sababu iliyopelekea Niyonzima akawa Man of the match siku ya mechi ya azam na Yanga.
Jana pia nimeshangaa Kahata kuwa mchezaji bora wa mashindano. Hivi ni ubora gani aliouonesha Kahata hadi kuwa Mchezaji bora?
NB: Hii mada haihusiani na ushangiliaji wa timu. Inahusu ushabiki wa soka. Ningependa kupata maoni ya mashabiki wa soka, maoni ya washangiliaji hayatakiwi.
Niliangalia game ya Simba na mtibwa, binafsi sikuona ubora uliopelekea Kahata akapewa tuzo ya Man of the match siku ile (kwenye mechi na mtibwa).
Pia sikuona sababu iliyopelekea Niyonzima akawa Man of the match siku ya mechi ya azam na Yanga.
Jana pia nimeshangaa Kahata kuwa mchezaji bora wa mashindano. Hivi ni ubora gani aliouonesha Kahata hadi kuwa Mchezaji bora?
NB: Hii mada haihusiani na ushangiliaji wa timu. Inahusu ushabiki wa soka. Ningependa kupata maoni ya mashabiki wa soka, maoni ya washangiliaji hayatakiwi.