Hivi ni ukoo wetu tu tuko hivi au na wengine mna experience upuuzi kama huu?

Penye watu hapakosi neno...

Nadhani waAfrica ndiyo tulivyo... tuna chuki binafsi sana...

Cc: mahondaw
 
Ukoo umeenda mbali, wengine tukikusimulia ya ndani ya familia ya ndugu wa tumbo moja, wazazi kupendelea waovu na kuungana nao kuhujumu wengine wanaoonekana "wanajidai wako vizuri" hutakaa uamini. Tenda wema uende zako.
 
Ukoo umeenda mbali, wengine tukikusimulia ya ndani ya familia ya ndugu wa tumbo moja, wazazi kupendelea waovu na kuungana nao kuhujumu wengine wanaoonekana "wanajidai wako vizuri" hutakaa uamini. Tenda wema uende zako.
Dunia ina mambo sana hii!
 
Ndo maana sisi wajanja tumeshaligundua hilo tunasaidia ukweni zaidi kuliko kwetu
 
Tenda wema uende zako
 
Mie naona yote sawa, hujaosea ila mzazi wako yupo sahihi, binafsi katika mambo kama hayo huwa napenda kutoa kile tulichoamriwa tutoe kwa pamoja halaf baada ya hapo ndio nitamfata muweka hazina, nimueleze katika kile kinachodaiwa mie nitatoa kiasi fulani ila asitangaze kuwa nimetoa mie, maana tumefundishwa tukitoa msaada tutoe kwa kificho kias kwamba kama umetoa na mkono wa kulia basi hata mkono wa kushoto usijue nadhani hili allah aliweka mahsusi kwakuwa anatujua viumbe wake, wengine wana chuki, husda, choyo na kadhalika...

Ila jambo zuri ni kuwa umetoa kwa nia ya msaada si maomesho ama sifa km watu wanavyojadili atakulipa mungu, next time usifanye hivyo chief, we chunguza kuna kipindi ukitaka kufanya jambo zuri kama likienea kwa kila mtu basi kuna asilimia kubwa ukafeli...
 
Ombeni mfunge kuondoa hiyo laana.Unaweza ukawa tajiri lakini ukawa mfungwa ktk mambo muhimu kiasi kwamba huna uhuru hata na mali zako.Anahitajika mtu asimame kuwaokoa ninyi ktk giza hilo.Kataeni muanze kutoka ktk wimbi hilo muifikie nchi ya ahadi.Zoezi la kutoka si lelemama.Inahitajika uvumilivu pia usiwe na hasira.
Hayo yapo kwenu tu mkuu.
 
Dah sawa mkuu
 
Sesten Zakazaka

Nimegundua kunamatatizo mengi katika jamii zetu kwenye mambo kama haya.

1. Watu wana ubinafsi sana.Mtu anaumwa, inawezekana akafa, mchangounahitajika, watu wanajisuasua wakatihela wanzo, etikisa wasitoe zaidi ya wengine.

2. Watu wana kutegeana sana. Kila mtu anamuangalia mwenzake atoe.

3. Watu wana unafiki sana. Ukitoa kwa siri watakuambia toa wazi watu wajue,uhamasishe. Ukitoa wzi watakuambia toa kwa siri, si vizuri kujionesha.

4. Watu wana kijicho sana. Ukitoa kiasi kikubwa wanaona wivu kwa nini umetoa.

5. Watu wana dharau sana. Usipotoa kiasikikubwa wanakudharau kwamba umefulia.

Kwa hiyo wewe toa tu akili zako zitakavyoona sawa.
 
Wivu wa kimaendelea na kupenda misifa isiyokuwa na maana kwa koo nyingi ni tatizo kubwa sana rafiki na m2 mwingine baki ni bora kuliko ndugu wanafiki sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…