Hivi ni vitu gani?

rajab mush

Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
30
Reaction score
20
Wazee habari ya asubuhi. Hebu tujadili hiki ni kitu gani. Nimeokota hivi vijiwe vimeefadhiwa katika kitu maalum nikaona nisivitupe kwanza nipate wabunifu labda wanavijua[emoji848][emoji3166]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo Sehemu Gani
Ingawa Ukweli Huenda Ni Chupa
Ingawa Imefanana Na Almasi
 
Dogo ayo Ni mawe kwenye mchanga wala hayana samani yoyote katika madini kiufupi ni kokoto tuuh

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Ushatajirika mkuu. Usinisahau kwenye ufalme wako niwe hata mpambe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…