Hivi Niffah yupo wanajukwaa?

Mkuu hata mimi ni me miss sanaa...
Hebu weka picha yake kwanza..
 
Wakuu naomba kujua kama mwanajukwaa mwenzetu kama yupo mana kimya kingi isijekuwa nissan nyeupe ishamfuatilia kimya kimya.
Nawasilisha.
sijamuona siku nyingi sana aisee
 
Leo nimeona uwepo wa mkuu The Bold kwenye nyuzi mbalimbali. Hivyo na uliyemuulizea we hope soon ataanza kuonekana jukwaani.

Hahha litakuwa jambo jema mkuu.
 
Scotland yaaaadiiiiiiii, km itatoa rukusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…