Hivi nikiacha kusoma Jamii Forum kwa miezi tisa nitakosa nini?

SubiriJibu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
1,805
Reaction score
1,876
Ninakaribia kuanza kusoma postgraduate na nitakuwa huko kwa zaidi ya miezi tisa. Nitajifungia mitandao mingi ikiwemo Jamii Forum.

Je, nitakosa nini nikiikosa Jamii Forum kwa miezi yote zaidi ya tisa?
 
SubiriJibu said:
Ninakaribia kuanza kusoma postgraduate na nitakuwa huko kwa zaidi ya miezi tisa. Nitajifungia mitandao mingi ikiwemo Jamii Forum.

Je, nitakosa nini nikiikosa Jamii Forum kwa miezi yote zaidi ya tisa?
Kwani wewe utakuwa bookworm hadi ushindwe kuwa na muda kidogo wa ku peep Jf?
 
Hili swali linalingana na kuuliza kadamnasini kuwa 'hivi mchepuko wangu nikiumwaga nitapungukiwa ba nini?'
 
Ninakaribia kuanza kusoma postgraduate na nitakuwa huko kwa zaidi ya miezi tisa. Nitajifungia mitandao mingi ikiwemo Jamii Forum.

Je, nitakosa nini nikiikosa Jamii Forum kwa miezi yote zaidi ya tisa?
Na uache kugongana ndio utajua umuhimu wa jamii forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…