tamaa tu
kupenda tu kuexplore magofu mapya
Bibie ivi Gofu jipya likoje vile? 😛eep:TAMAA TU
kupenda tu kuexplore magofu mapya
TAMAA TU
kupenda tu kuexplore magofu mapya
Nijambo la kawaida siku hizi kuona mwanamme kuwana mahusiano nje ya ndoa yake vyihivyo kwa mwanamke kuna mahusiano ya nje na mwanmume ali kadharika kwa wapenzi mwanamke anakuwa na boyfriends zaidi ya mmoja na wavulana ana girlfriend zaidi ya mmoja mimi nashindwa kujua nini chanzo cha matatizo yote haya!Tamaa au ni umagharibi au nini??jamani?:A S-confused1:
Rose katulia sana tu ila anagawa dozi za maana humu. Unataka akae kimya?eeeeeh!rose hujatulia kabsa!
:doh:Sasa mkuu utazunguka hadi wapi maana haikamatiki!!au ndo mpaka lyamba!!
mambo ya ndoa sometimes ni magumu sana, lakini ni kuamua tu. Ukishakuwa na mmoja basi wengine wawe dada au kaka zako.:doh:Sasa mkuu utazunguka hadi wapi maana haikamatiki!!au ndo mpaka lyamba!!
Rose katulia sana tu ila anagawa dozi za maana humu. Unataka akae kimya?
Rose GO! just say. na mimi naona ni tamaa tu, japo sometimes wakati wa kutega mitego unaweza kunasa kubwa na ndogo pia halafu ukachagua au kushika vyote.
Lakini ifike wakati uchague moja. Si vema kuwa Mdanganyifu kwenye mahusiano. Ila kuwa na ziada nadhani ni njema pia japo usizidishe au kumsababishia matatizo mwenzio.
watu wote wanahitaji kupendwa eeeeh
hapo kweli nami nakupata sawasawa, mara nyingine ukitiwa mawazo sana unaweza kweli kupeleka kichwa resi halafu utatia aibu kabisa.nimekupa na thanks yangu hawa wanapunguzaga msongo wa mawazo yakhe ukikaa masaa yotee kumuwaza jumaaa kichwa chaweza kwenda resi
Wala hiyo tabia magharibi haipo, mi nadhani ni mporomoko wa maadili tu na ukosefu wa kazi. Kazi zingekuwa zinapatikana kwa urahisi viruka njia (boys and gals) wangepungua, lakini hiyo sasa imekuwa niNijambo la kawaida siku hizi kuona mwanamme kuwana mahusiano nje ya ndoa yake vyihivyo kwa mwanamke kuna mahusiano ya nje na mwanmume ali kadharika kwa wapenzi mwanamke anakuwa na boyfriends zaidi ya mmoja na wavulana ana girlfriend zaidi ya mmoja mimi nashindwa kujua nini chanzo cha matatizo yote haya!Tamaa au ni umagharibi au nini??jamani?:A S-confused1:
Mpaka nanihii iishe kabisa yaani ibaki unene wa uzi wa kushonea :smile-big::smile-big::smile-big::doh:Sasa mkuu utazunguka hadi wapi maana haikamatiki!!au ndo mpaka lyamba!!