Baada ya kufika kule wale jamaa wakampa mrisho ngassa zoezi la kukimbia na mpira huku umeunatisha kwenye kisigino akashindwa, basi wakamwambia rudi kwenu ukabutue kama mlivyozoea kufanya na kushinda mechi za kununua!jamaa alirudi, yupo tunabanana naye kwenye chips za mafuta ya transfoma hapa bongo!