Hivi Nini kinaendelea kati ya Diamond na baadhi ya Vyombo vya habari?

Hivi Nini kinaendelea kati ya Diamond na baadhi ya Vyombo vya habari?

Pumba Master

Senior Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
144
Reaction score
176
Niajee wakuu!
.
Ningependa kujua tu kua,
Nini kinaendelea kati ya diamond na baadhi ya media? Maana kuna baadhi ya media vinaonekana kama kumchunia..
Kama vile clouds,millard ayo..etc
Toa maoni yako
 
Master pumba...we kweli pumba fanya utafiti japo kidogo wa kabla ya kuanzisha mada
 
Wal msishangae ndo thread yak ya kwanz so uwezi jua anatest


Si kwa mashudu ulieandika
 
Niajee wakuu!
.
Ningependa kujua tu kua,
Nini kinaendelea kati ya diamond na baadhi ya media? Maana kuna baadhi ya media vinaonekana kama kumchunia..
Kama vile clouds,millard ayo..etc
Toa maoni yako
Ni chuki na roho mbaya za mmoja kutaka kumtawala mwingine milele.....na hao wakina millardayo nao wamoto kwenye mkumbo huo huo...Ruge ni shit sana, anataka kuabudiwa with every artist na ndiyo maana wameenda ku launch albamu Nairobi. Jide she wanted to fight but lost, sasa ngoja tuone huyu...
 
Niajee wakuu!
.
Ningependa kujua tu kua,
Nini kinaendelea kati ya diamond na baadhi ya media? Maana kuna baadhi ya media vinaonekana kama kumchunia..
Kama vile clouds,millard ayo..etc
Toa maoni yako
"Pale inapotokea anaekutumikisha na kukunyonya na kufaidika kupitia unachokifanya ashuhudie live unaikata mirija yake na kujiinua kiuchumi zaidi na kumtishia kumpiku kiuchumi lazima figisu ziwepo na chuki pia.
millard simlaumu boss wake ni kaa mkubwa inabidi afanye vile atakavyo boss wake.
"
 
Niajee wakuu!
.
Ningependa kujua tu kua,
Nini kinaendelea kati ya diamond na baadhi ya media? Maana kuna baadhi ya media vinaonekana kama kumchunia..
Kama vile clouds,millard ayo..etc
Toa maoni yako
 
Back
Top Bottom