Eti nyumba ina ramani kama kanisa la gwajimaAkhsante mkuu
ohooooo!!!mimi huwa najua ni shombe shombe kumbe amebebwa na kitaulo?Huyu vitu ambavyo huwa anaandika katika social media lazma utagundua sio mzima....
Amejikrimu karibia awe mzungu
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Tangu nilipoona picha yake niliacha kumfuatilia dah sauti nzuri ila sura kama vile chafya imegoma kutoka.
He!!! kumbe WAJENZI HURU nao wana IKULU ..... nilikuwa sijuagi aseee .... by the way akiitwa IKULU si ndo powa ... mana si RAHA MUSTAREHE tu huko?Usikute alikuwa mwanacha wa lile lichama la wajenzi! sasa labda mkataba umeisha anatakiwa akafanye kazi huko kwenye ikulu yao!
So touching
Kawa kijusoHuyu vitu ambavyo huwa anaandika katika social media lazma utagundua sio mzima....
Amejikrimu karibia awe mzungu
Sure sir..na Mimi nimefikiri ivoivo...its their time to take her soul...manake wajamaa wale hawatakagi utani mda ukifikaUsikute alikuwa mwanacha wa lile lichama la wajenzi! sasa labda mkataba umeisha anatakiwa akafanye kazi huko kwenye ikulu yao!
Weee...sio ikulu ya raisi...unapouza nafsi..inamaana utakula vyao mda Fulani..time ikifika unaenda kuwatumikia uku ukiwa umekufa katka hali ya kuchukuliwa na waoHe!!! kumbe WAJENZI HURU nao wana IKULU ..... nilikuwa sijuagi aseee .... by the way akiitwa IKULU si ndo powa ... mana si RAHA MUSTAREHE tu huko?
Ni black kabisa, naona kitaulo limekoleaohooooo!!!mimi huwa najua ni shombe shombe kumbe amebebwa na kitaulo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mm instagram yangu siwezi kufungua mbele za watu maana watu nlio-follow ni laana tupu
kuna siku kaandika anakereka kwenda ukweni afu akute wamepika maharage au cabbage, kipindi hicho alikua anatoka na GK ha ha ha sa sijui kwao GK ndo alikua anakuta hivoHayupo sawa kwakweli
Lohhhh...kama aliandika hayo aiseehh alikosea kwanza kamdharau mpnz wake jamani!kuna siku kaandika anakereka kwenda ukweni afu akute wamepika maharage au cabbage, kipindi hicho alikua anatoka na GK ha ha ha sa sijui kwao GK ndo alikua anakuta hivo
Ndo maana huwa namuona ana shidaLohhhh...kama aliandika hayo aiseehh alikosea kwanza kamdharau mpnz wake jamani!
wameshaachana na GK?kuna siku kaandika anakereka kwenda ukweni afu akute wamepika maharage au cabbage, kipindi hicho alikua anatoka na GK ha ha ha sa sijui kwao GK ndo alikua anakuta hivo