Hivi nini litatokea kama baiskeli/pikipiki ya kuchajia nikiifunga solar panel ya watt 100???

Hivi nini litatokea kama baiskeli/pikipiki ya kuchajia nikiifunga solar panel ya watt 100???

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Niko mbioni kununua pikipiki au baiskeli hizi za kuchaji. Hii ninayotaka kununua inatembea km 60 then ndo itatakiwa ichajiwe. Sasa nilichokiwaza ni hiki, vipi kama hiki kifaa nikikiunganisha na solar panel ya watt 100 ambayo itakuwa kama paa, so itanikinga Kwa jua. Then nifunge na charger Controler kisha nipeleke waya kwenye betri. Wajuzi wameshajua target yangu ni nini,

Je, hili zoezi litafanikiwa???
 
Let's see what Math can do,
tufanye rough estimations kidogo. Tuseme uende na wastani wa spidi ya 20Kmph ≈ 6mps
-Aerodynamic drag hapo ≈0.5*Cd*air_density*velocity²
≈ 16N
-Kwa spidi ya 20Kmph unahitaji about
P ≈ F*V = 16N * 6mps ≈ 96Watt.....
-Tukadirie uko na efficiency kwenye power converter na unapoteza only 10W

-Tukadirie tena high mechanical efficiency, upoteze only 10W, lastly reserve tena 10W kwa loss nyingine
Total you need 96+10+10+10= 126W kwa spidi ya less than 10Kmph,

-Hapo hatujapigia hesabu unapandisha mlima extra power agains gravity about mg*sin(angle_ya_kilima)*spidi_ya_kupandisha_kilima.
-In my rough estimations hiyo power haitoshi labda kama unataka spidi ya kobe na haupandishi vilima
 
[COLOR=rgb(250, 197, 28)][SIZE=7]Simama hapo hapo wenyewe wanakuja.[/SIZE][/COLOR]
 
Let's see what Math can do,
tufanye rough estimations kidogo. Tuseme uende na wastani wa spidi ya 20Kmph ≈ 6mps
-Aerodynamic drag hapo ≈0.5*Cd*air_density*velocity²
≈ 16N
-Kwa spidi ya 20Kmph unahitaji about
P ≈ F*V = 16N * 6mps ≈ 96Watt.....
-Tukadirie uko na efficiency kwenye power converter na unapoteza only 10W

-Tukadirie tena high mechanical efficiency, upoteze only 10W, lastly reserve tena 10W kwa loss nyingine
Total you need 96+10+10+10= 126W kwa spidi ya less than 10Kmph,

-Hapo hatujapigia hesabu unapandisha mlima extra power agains gravity about mg*sin(angle_ya_kilima)*spidi_ya_kupandisha_kilima.
-In my rough estimations hiyo power haitoshi labda kama unataka spidi ya kobe na haupandishi vilima
But hi hesabu yote inatoka kwenye betri iliyo na chaji tayari, mdau nilivyomuelewa ye anataka aweke sola iendelee kuchaji betri huku inatumika......
 
Let's see what Math can do,
tufanye rough estimations kidogo. Tuseme uende na wastani wa spidi ya 20Kmph ≈ 6mps
-Aerodynamic drag hapo ≈0.5*Cd*air_density*velocity²
≈ 16N
-Kwa spidi ya 20Kmph unahitaji about
P ≈ F*V = 16N * 6mps ≈ 96Watt.....
-Tukadirie uko na efficiency kwenye power converter na unapoteza only 10W

-Tukadirie tena high mechanical efficiency, upoteze only 10W, lastly reserve tena 10W kwa loss nyingine
Total you need 96+10+10+10= 126W kwa spidi ya less than 10Kmph,

-Hapo hatujapigia hesabu unapandisha mlima extra power agains gravity about mg*sin(angle_ya_kilima)*spidi_ya_kupandisha_kilima.
-In my rough estimations hiyo power haitoshi labda kama unataka spidi ya kobe na haupandishi vilima
mimi naskiliza mziki wa 1000W yeye anataka usafiri wa 100W.

Mimi nilidhani James Watt alirahishia ma H_kunani kuelewa power alivotumia unit ya horsepower ndo maana mpaka leo inatumika japo hatutumii farasi, Sasa kweli 100W ni ndogo sana ni ya kitoto cha farasi ukipe kazi ya kuvuta chombo amekaa kibonge.
 
mimi naskiliza mziki wa 1000W yeye anataka usafiri wa 100W.

Mimi nilidhani James Watt alirahishia ma H_kunani kuelewa power alivotumia unit ya horsepower ndo maana mpaka leo inatumika japo hatutumii farasi, Sasa kweli 100W ni ndogo sana ni ya kitoto cha farasi ukipe kazi ya kuvuta chombo amekaa kibonge.
Huu mziki watoto wa mjini tunaita kinu, yaani ukiuwasha unawaka💪
 
mimi naskiliza mziki wa 1000W yeye anataka usafiri wa 100W.

Mimi nilidhani James Watt alirahishia ma H_kunani kuelewa power alivotumia unit ya horsepower ndo maana mpaka leo inatumika japo hatutumii farasi, Sasa kweli 100W ni ndogo sana ni ya kitoto cha farasi ukipe kazi ya kuvuta chombo amekaa kibonge.
Ukute yeye mwenyewe uzito wake kilo 100 hapo😂
 
Ukute yeye mwenyewe uzito wake kilo 100 hapo😂
Pikipiki Sun lg 125cc inabeba mizigo kama kirikuu power yake 8.8Kw farasi 11 hizi.

chakufanya huyu mwamba anatakiwa afunge solar walau watts 750 hapa atapiga misele yake vizuri ila asipakie mtu kibonge au kubeba mzigo zaidi ya kilo 50.
 
Niko mbioni kununua pikipiki au baiskeli hizi za kuchaji. Hii ninayotaka kununua inatembea km 60 then ndo itatakiwa ichajiwe. Sasa nilichokiwaza ni hiki, vipi kama hiki kifaa nikikiunganisha na solar panel ya watt 100 ambayo itakuwa kama paa, so itanikinga Kwa jua. Then nifunge na charger Controler kisha nipeleke waya kwenye betri. Wajuzi wameshajua target yangu ni nini,

Je, hili zoezi litafanikiwa???
Jamaa kapiga hesabu za ndama hapo chini kukukatisha tamaa tu, ingia YouTube kuna wamefanya hizo projects tena nyingi sana na ni successful.
Tena si kweli utakuwa unatembea siku nzima so ule mda umetulia utakua unacharge betri, jipange upate Solar nzuri, chaja controller high quality na wire nene za kutosha kubeba umeme mwingi from solar to controller and from controller to Battery.
 
Let's see what Math can do,
tufanye rough estimations kidogo. Tuseme uende na wastani wa spidi ya 20Kmph ≈ 6mps
-Aerodynamic drag hapo ≈0.5*Cd*air_density*velocity²
≈ 16N
-Kwa spidi ya 20Kmph unahitaji about
P ≈ F*V = 16N * 6mps ≈ 96Watt.....
-Tukadirie uko na efficiency kwenye power converter na unapoteza only 10W

-Tukadirie tena high mechanical efficiency, upoteze only 10W, lastly reserve tena 10W kwa loss nyingine
Total you need 96+10+10+10= 126W kwa spidi ya less than 10Kmph,

-Hapo hatujapigia hesabu unapandisha mlima extra power agains gravity about mg*sin(angle_ya_kilima)*spidi_ya_kupandisha_kilima.
-In my rough estimations hiyo power haitoshi labda kama unataka spidi ya kobe na haupandishi vilima
Mkuu, naomba nikuweke sawa. Sijasema kwamba hiyo panel ya watt 100 ndo ioparate chombo. Maana yangu ni kwamba, chombo tayari ishachajiwa Iko full. Sitaki chaji iishe. Sasa, panel ya watt 100 itashindwa kuchaji hizi betri za hii chombo?????
 
Pikipiki Sun lg 125cc inabeba mizigo kama kirikuu power yake 8.8Kw farasi 11 hizi.

chakufanya huyu mwamba anatakiwa afunge solar walau watts 750 hapa atapiga misele yake vizuri ila asipakie mtu kibonge au kubeba mzigo zaidi ya kilo 50.

Pikipiki Sun lg 125cc inabeba mizigo kama kirikuu power yake 8.8Kw farasi 11 hizi.

chakufanya huyu mwamba anatakiwa afunge solar walau watts 750 hapa atapiga misele yake vizuri ila asipakie mtu kibonge au kubeba mzigo zaidi ya kilo 50.
expand...
Mkuu, naomba nikuweke sawa. Sijasema kwamba hiyo panel ya watt 100 ndo ioparate chombo. Maana yangu ni kwamba, chombo tayari ishachajiwa Iko full. Sitaki chaji iishe. Sasa, panel ya watt 100 itashindwa kuchaji hizi betri za hii chombo?????
 
Jamaa kapiga hesabu za ndama hapo chini kukukatisha tamaa tu, ingia YouTube kuna wamefanya hizo projects tena nyingi sana na ni successful.
Tena si kweli utakuwa unatembea siku nzima so ule mda umetulia utakua unacharge betri, jipange upate Solar nzuri, chaja controller high quality na wire nene za kutosha kubeba umeme mwingi from solar to controller and from controller to Battery.
Math never lies brother, Only fools wouldn't believe in Mathematics.
Infact hapo sijasema ni-include accelerating phase nimeassume tayri inaenda sasa kuimaintain na hiyo spidi, still kuna power inahitajika ili ianze, kama wewe unahisi unaweza ukatengeneza hiyo system kwa Watt 100 tena kwa spidi kubwa kila la heri🤝🤝
 
Mkuu, naomba nikuweke sawa. Sijasema kwamba hiyo panel ya watt 100 ndo ioparate chombo. Maana yangu ni kwamba, chombo tayari ishachajiwa Iko full. Sitaki chaji iishe. Sasa, panel ya watt 100 itashindwa kuchaji hizi betri za hii chombo?????
Cheki post ya mwamba apo Nazi Ignition, Rate ya kudischarge ni kubwa kuliko ya kucharge so ni kazi bure..
If we suppose syatem yako inatumia about 8Kw, hiyo 100w itachangia only 1.25% huezi kuona tofauti yoyote kwa hizi asilimia.
Mfano, Tuassume system yako inalinear response, in this case kama ilitakiwa kukaa charge for 20hrs hizo watt 100 zako zitaongeza 0.25hr ambayo ni sawa na dakika 15 tu shekhe..
In this case ratio ya cost hailingani na unachoongeza
 
Math never lies brother, Only fools wouldn't believe in Mathematics.
Infact hapo sijasema ni-include accelerating phase nimeassume tayri inaenda sasa kuimaintain na hiyo spidi, still kuna power inahitajika ili ianze, kama wewe unahisi unaweza ukatengeneza hiyo system kwa Watt 100 tena kwa spidi kubwa kila la heri🤝🤝
Umepigaje hio math hata hujui Size ya battery...!?
 
Mkuu, naomba nikuweke sawa. Sijasema kwamba hiyo panel ya watt 100 ndo ioparate chombo. Maana yangu ni kwamba, chombo tayari ishachajiwa Iko full. Sitaki chaji iishe. Sasa, panel ya watt 100 itashindwa kuchaji hizi betri za hii chombo?????
Mkuu hapo nilichoangalia ni rate ya charging and discharging, hizi rate zina tofauti kubwa sana maamayake hakuna charging itakayofanyika.

Labda upaki chombo muda mrefu ndo itaingia charge kidogo sana, kumbuka kupaki sio lengo lako, lengo lako ni charging ifanyike chombo ikiwa inaenda. ( kama unataka kuchaji ukiwa umepaki, kwa iyo solar yako hapana umeme ndo best option)

Ukitaka kuelewa toboa ndoo tundu kubwa ijaze maji(unaweza kuziba tundu ukiwa unajaza maji) kaweke ndoo iliyojaa maji kwenye bomba halafu ufunguloe maji yaingie kwenye ndoo taratibu... achia tundu maji yatoke kitachotokea maji kwenye ndoo hayata ongezeka mpaka yataisha(charging haita fanyika)

yanaishaje wakati kuna maji yanaingia(charging) hapa ndo rate of charging and discharging ambayo inatakiwa iwe kubwa ni ya kuchaji hapo ndo charging itafanyika.
 
Umepigaje hio math hata hujui Size ya battery...!?
Battery litakuwa lina drain no charging inayofanyika so haina haja ya kujua capacity ya battery wataki chaji itayoingia inajulikana.

kumbuka chaji ya solar inatakiwa na yenyewe ije kutumika,
 
Battery litakuwa lina drain no charging inayofanyika so haina haja ya kujua capacity ya battery wataki chaji itayoingia inajulikana.

kumbuka chaji ya solar inatakiwa na yenyewe ije kutumika,
Mkuu, je nikiifunga kile kifaa kinachotumika kuchaji betri ya gari pindi gari inapowashwa?????
 
Cheki post ya mwamba apo Nazi Ignition, Rate ya kudischarge ni kubwa kuliko ya kucharge so ni kazi bure..
If we suppose syatem yako inatumia about 8Kw, hiyo 100w itachangia only 1.25% huezi kuona tofauti yoyote kwa hizi asilimia.
Mfano, Tuassume system yako inalinear response, in this case kama ilitakiwa kukaa charge for 20hrs hizo watt 100 zako zitaongeza 0.25hr ambayo ni sawa na dakika 15 tu shekhe..
In this case ratio ya cost hailingani na unachoongeza
Mkuu, je nikiifunga kile kifaa kinachotumika kuchaji betri ya gari pindi gari inapowashwa?????
 
Mkuu, je nikiifunga kile kifaa kinachotumika kuchaji betri ya gari pindi gari inapowashwa??
Kwa lengo lipi ?, sijajuwa requirements unazotaka wewe kwenye baiskeli yako, spidi ? Battery ikae kwa muda gani kabla ya kucharge tena? e.tc, ila nadhani (nimekadiria) about 1000watts zinaweza kutosha
 
Back
Top Bottom