kibovu kichwa
Senior Member
- May 17, 2019
- 145
- 105
Habari zenu wadau. Hv hii kitu inawakuta na nyingi au ni mimi tu. Madada wa hapa mtaani kila kitu kikiharibika wanataka mimi ndo niwarekebishie. Iwe simu, saa, tv set zikizingua mpk umeme somtime naitwa mimi wakati mi sijasomea umeme wala ufundi wowote. Huyo shemela wenu ye ndo mpk viatu vikikatika anataka nimtengenezee mimi. Hivi aliyewaambia si wanaume mafundi wa kila kitu nani?