Hivi njia gani inatumika kuomba kusomea ualimu kwa gredi ya diploma??

Hivi njia gani inatumika kuomba kusomea ualimu kwa gredi ya diploma??

talentbrain

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2009
Posts
1,187
Reaction score
760
Naomba mnisaidie nijue jinsi ya kuomba vyuo vya ualimu ngazi ya diploma.
 
Unatakiwa uandike barua ya maombi wizara ya elimu na mafunzo nao watakupanga kwenye vyuo vyao vya serikali ,private omba chuoni moja kwa moja.
Ila nafiri serikalini walishaomba zaman hope d line imeshapita kama sijakosea.
 
Back
Top Bottom