Hivi NTA Level 3 Ndio ipi? Diploma au Certificate?

Hivi NTA Level 3 Ndio ipi? Diploma au Certificate?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari wanaJF

Naomba mwenye kuelewa kuhusu NTA LEVEL 3, au NTA LEVEL 2 na NTA LEVEL 1 inapatikanaje? maana nimeona baadhi ya vyuo unaruhusiwa kuomba kusoma certificate ukiwa na kigezo cha Pass mbili yaani D mbili kwa matokeo ya kidato cha nne na pia ukiwa na hiyo NTA level 3. Sasa sijajua hiyo NTA LEVEL 3 inapatikana vipi na chuo gani wanatoa? naomba kueleweshwa.
 
Habari wanaJF

Naomba mwenye kuelewa kuhusu NTA LEVEL 3, au NTA LEVEL 2 na NTA LEVEL 1 inapatikanaje? maana nimeona baadhi ya vyuo unaruhusiwa kuomba kusoma certificate ukiwa na kigezo cha Pass mbili yaani D mbili kwa matokeo ya kidato cha nne na pia ukiwa na hiyo NTA level 3. Sasa sijajua hiyo NTA LEVEL 3 inapatikana vipi na chuo gani wanatoa? naomba kueleweshwa.
NTA ni National Technical Award
Taasisi kama Veta inatoa mafunzo ya ufundi kuanzia
NTA Level 1 ( Cheti daraja la 1)
NTA Level 2 (Cheti daraja la 2)
NTA Level 3 (Cheti daraja la 3)

Ukitaka kusoma diploma unaaendelea na
NTA Level 4, NTA Level 5 NTA Level 6 na moja wapo ya sifa ya kujiunga NTA Level 4 unatakiwa angalau uwe na cheti cha NTA Level 3
 
Habari wanaJF

Naomba mwenye kuelewa kuhusu NTA LEVEL 3, au NTA LEVEL 2 na NTA LEVEL 1 inapatikanaje? maana nimeona baadhi ya vyuo unaruhusiwa kuomba kusoma certificate ukiwa na kigezo cha Pass mbili yaani D mbili kwa matokeo ya kidato cha nne na pia ukiwa na hiyo NTA level 3. Sasa sijajua hiyo NTA LEVEL 3 inapatikana vipi na chuo gani wanatoa? naomba kueleweshwa.
Nta ya kugundishia au huu uzi unahusu nini?
 
NTA ni National Technical Award
Taasisi kama Veta inatoa mafunzo ya ufundi kuanzia
NTA Level 1 ( Cheti daraja la 1)
NTA Level 2 (Cheti daraja la 2)
NTA Level 3 (Cheti daraja la 3)

Ukitaka kusoma diploma unaaendelea na
NTA Level 4, NTA Level 5 NTA Level 6 na moja wapo ya sifa ya kujiunga NTA Level 4 unatakiwa angalau uwe na cheti cha NTA Level 3
Unaona sasa mkuu GOSSO MZEKEZEKE, mambo hayo. Tumeongeza maarifa hapa.
 
NVA inaanzia level 1 hadi 3. Hii hutolewa na NACTVET, hutolewa kwa miaka 3 ambapo ukiwa na NVA2 unaweza ke exit na kwenda sokoni. Hivi vyeti hutokewa veta.
Ukianza level 4 ndo zinatolewa na technical colleges hizi husimamiwa na NACTVET pia ila hutolewa veta na technical colleges
 
qualification-2b.jpg
 
Habari wanaJF

Naomba mwenye kuelewa kuhusu NTA LEVEL 3, au NTA LEVEL 2 na NTA LEVEL 1 inapatikanaje? maana nimeona baadhi ya vyuo unaruhusiwa kuomba kusoma certificate ukiwa na kigezo cha Pass mbili yaani D mbili kwa matokeo ya kidato cha nne na pia ukiwa na hiyo NTA level 3. Sasa sijajua hiyo NTA LEVEL 3 inapatikana vipi na chuo gani wanatoa? naomba kueleweshwa.
Hiyo inapatikana VETA
Ukienda chuo cha kati unaanza na NTA 4(Basic certificate),NTA5(Technician certificate ) na kisha diploma ambayo ni NTA 6 (hii ni intermediate sasa)
Then utaingia kwa level ya chuo kikuu utaikuta NTA 7 (Higher diploma hIii ipo kwabaadhi ya vyuo kabla ya degree kuhitimu unaweza ishia njiani mfano kozi ina miaka 4 ila ww ukapiga miaka 3,chuo kitakutunuku higher diploma),NTA 8 (Bachelor degree),NTA 9 (Masters degree),NTA 10 (Phd).
Your welcome!
 
Hiyo inapatikana VETA
Ukienda chuo cha kati unaanza na NTA 4(Basic certificate),NTA5(Technician certificate ) na kisha diploma ambayo ni NTA 6 (hii ni intermediate sasa)
Then utaingia kwa level ya chuo kikuu utaikuta NTA 7 (Higher diploma hIii ipo kwabaadhi ya vyuo kabla ya degree kuhitimu unaweza ishia njiani mfano kozi ina miaka 4 ila ww ukapiga miaka 3,chuo kitakutunuku higher diploma),NTA 8 (Bachelor degree),NTA 9 (Masters degree),NTA 10 (Phd).
Your welcome!
Hv mkuu kwenye Ajira huyo mwenye Higher diploma/ Advanced diploma anakuwa na uzito sawa na mwenye bachelor degree

Imagine wote wakajiriwa halmashauri kama Engineering huyo mwenye Higher diploma atalipwa sawa na mwenye degree?
 
Hiyo inapatikana VETA
Ukienda chuo cha kati unaanza na NTA 4(Basic certificate),NTA5(Technician certificate ) na kisha diploma ambayo ni NTA 6 (hii ni intermediate sasa)
Then utaingia kwa level ya chuo kikuu utaikuta NTA 7 (Higher diploma hIii ipo kwabaadhi ya vyuo kabla ya degree kuhitimu unaweza ishia njiani mfano kozi ina miaka 4 ila ww ukapiga miaka 3,chuo kitakutunuku higher diploma),NTA 8 (Bachelor degree),NTA 9 (Masters degree),NTA 10 (Phd).
Your welcome!
dah aisee so kwajumla apo inakua0ni miaka mingapi mpaka masters degree
 
Back
Top Bottom