Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Mimi ni raisi wa wabeba maboksi. Sifanyi kazi ubalozini, siyo mwalimu wa shule ya kimataifa, na wala si mkuu wa idara ya lugha katika chuo chochote kile. Sina kabisa sifa za kuwa kwenye sehemu kama hizo.
Mimi ni mtu wa boksi tu, mwanzo mwisho, juu chini.
Nyani.....hivi haya maboksi yako unayabebea kiunoni au kichwani???
Nyani.....hivi haya maboksi yako unayabebea kiunoni au kichwani???
sasa hayo ma box unabeba uingereza au? ila ulisoma Ba in languages? mbona ngeli yako nhumu sana? !Mimi ni raisi wa wabeba maboksi. Sifanyi kazi ubalozini, siyo mwalimu wa shule ya kimataifa, na wala si mkuu wa idara ya lugha katika chuo chochote kile. Sina kabisa sifa za kuwa kwenye sehemu kama hizo.
Mimi ni mtu wa boksi tu, mwanzo mwisho, juu chini.
Mimi ni raisi wa wabeba maboksi. Sifanyi kazi ubalozini, siyo mwalimu wa shule ya kimataifa, na wala si mkuu wa idara ya lugha katika chuo chochote kile. Sina kabisa sifa za kuwa kwenye sehemu kama hizo.
Mimi ni mtu wa boksi tu, mwanzo mwisho, juu chini.
prezaidi wa madali na maboksi mbona sikuoni twitter?
ps. unafuatilia haya mambo ya mwajiri wako wa zamani:
---
Subject: Re: The Missing Quote from the Dr. King Memorial...
From: [...]
Everyone should read this news story.
The Missing Quote from the Dr. King Memorial...
While some commentators like Cornel West have pointed out that King stated that America is a sick society, most of King commemorations ignore his social criticism in favor of a bland, phony call to "diversity" and "brotherhood", and they do more to pervert and undermine his message than to promote it. And it's mostly black folks, rather than white folks, who are guilty.
---
?
tunaweza kusema your english is a product ya Shebby Robby...zaidi kuliko kubeba box??????
No, it's a product of my own efforts and also inheritance.
No, it's a product of my own efforts and also inheritance.
Hiyo sakata nimeifuatilia sana na ni Maya Angelou ndiye ali raise a stink!
NB; Mimi si mtu wa twitter, facebook, etc.
prezaida wa madali na maboksi mbona sikuoni twitter?
ps. unafuatilia haya mambo ya mwajiri wako wa zamani:
---
Subject: Re: The Missing Quote from the Dr. King Memorial...
From: [...]
Everyone should read this news story.
The Missing Quote from the Dr. King Memorial...
While some commentators like Cornel West have pointed out that King stated that America is a sick society, most of King commemorations ignore his social criticism in favor of a bland, phony call to "diversity" and "brotherhood", and they do more to pervert and undermine his message than to promote it. And it's mostly black folks, rather than white folks, who are guilty.
---
?
JF weka wimbo wa taifa.Mimi ni raisi wa wabeba maboksi. Sifanyi kazi ubalozini, siyo mwalimu wa shule ya kimataifa, na wala si mkuu wa idara ya lugha katika chuo chochote kile. Sina kabisa sifa za kuwa kwenye sehemu kama hizo.
Mimi ni mtu wa boksi tu, mwanzo mwisho, juu chini.
JF weka wimbo wa taifa.
speech ya rais iheshimiwe.
Tungo tata hii. Fafanuawatu wote simameni
Kumbe unapenda madaraka thats why?Mimi ni raisi wa wabeba maboksi. Sifanyi kazi ubalozini, siyo mwalimu wa shule ya kimataifa, na wala si mkuu wa idara ya lugha katika chuo chochote kile. Sina kabisa sifa za kuwa kwenye sehemu kama hizo.
Mimi ni mtu wa boksi tu, mwanzo mwisho, juu chini.