Hivi nyie makapuku kule kwenye uzi wenu huwa mnaongelea nini?

Hivi nyie makapuku kule kwenye uzi wenu huwa mnaongelea nini?

nilivoona huu Uzi nikashituka kidogo... nikasema ngoja niangalie jina la mtoa mada..nilivoliona tu.. nikasema basi kumbe ni sawa
 
Watu Fulani hawana shobo na MTU ila wamejipanga sana!
Kule utakutana na magazeti,quotes,hot news na vingine vingi!
 
Back
Top Bottom