Kijana Wa Dar
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 216
Naona uzi wenu unakua kwa kasi sana,sijui huwa mnaongelea nini kule..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanaongelea nani atamfunga paka kengele?
Sio jibu zuri kwa mtu anayetaka kufahamu, am just saying.Mtukome na hatutaki mazoea kuzoeana..
Ahsante kwa kunikosoa na nisamehe pia..Sio jibu zuri kwa mtu anayetaka kufahamu, am just saying.
Safi sana, na ndio ameshauriwa hapo, akitaka kuujua uhondo wa ngoma, aingie acheze.Ahsante kwa kunikosoa na nisamehe pia..
Ila angeenda kule kuulizia tu..
Ahsanteeee bibie hapo nitaishi kwa amani sasa..Safi sana, na ndio ameshauriwa hapo, akitaka kuujua uhondo wa ngoma, aingie acheze.
Mi mwenyewe nliwahi kuingia aisee sikuelewa ikabidi nitoke bila kuagaNiliwahi kuingia siku moja sikuelewa kitu. Yaan nilitoka kapa
Nenda kawaulize hukohukoNaona uzi wenu unakua kwa kasi sana,sijui huwa mnaongelea nini kule..
Yeah na theories na hypothesisWanaongelea nani atamfunga paka kengele?